Ha! ha! ha! ... mkuu nitonye ... mbona unajitetea?! ... wewe ngoja tu utakutana nao mahakamani then maneno hayo ya utetezi wako ndio utamwambia Judge!! .. teh! teh!!Hii iko tofauti sana kabisa kwa sababu sijaongeza neno hata kidogo na hakuna kafsha yoyote kwenye hiyo picha
Hii iko tofauti sana kabisa kwa sababu sijaongeza neno hata kidogo na hakuna kafsha yoyote kwenye hiyo picha
nitonye unaifahamu sheria mpya ya makosa ya kimtandao..?
hivi imeshasainiwa kumbe
Naichukia hii sheria basi tu
Hii iko tofauti sana kabisa kwa sababu sijaongeza neno hata kidogo na hakuna kafsha yoyote kwenye hiyo picha
Naichukia hii sheria basi tu
Acha picha iongeeView attachment 273693
Hilo shtaka lingeweza kufunguliwa tu bila ya kujali sharia ya makosa ya mtandao imepitishwa au haijapitishwa, japo mimi sio mtaalam wa mambo ya sharia lakini naona wametumia kifungu cha sharia ya mwaka 2002. Swali la msingi, sharia mpya ya makosa ya mtandao imesha sainiwa?
Mkuu akuna atakaefungwa kwa ajiliya picha ...wakwanza kuulizwa aliekubali kupigwa pichaHii iko tofauti sana kabisa kwa sababu sijaongeza neno hata kidogo na hakuna kafsha yoyote kwenye hiyo picha
Ile sheria itakaa tu kwenye makaratasi tu wakitaka kuitekeleza wapanue magereza maana haya yaliyopo hayatatosha