Hashpower7113
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 1,353
- 2,137
Kweli binadamu hatutaweza kufanana akil au maadili, yan saiz hawa watangazaji wa kipindi cha JAHAZI CLOUZ badala wakae wazungumze mambo ya maana wanakaa na kujadili mambo ya kishenz ya kutongozana eti wanaulizana mwanamke na mwanaume ni nani anaweza kumtongoza mwenzie haraka, hili ndio tatzo la kuingia kazin ukiwa umeshakunywa pombe hawana nidhamu kabisa.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums