Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,930
- 1,165
Híi kampuni ni mteja wao wa siku nyingi toka enzi za CELTEL. Kuna tatizo ambalo linawakumba wateja wengi (ikiwemo na mimi) la kutopata menyu yao ya "airtel yatosha" .
Nimejaribu kwa nguvu zangu kuwasiliana na huduma kwa wateja wanachosema ni kwamba,tatizo linajulikana na wanalishughulikia, je nikweli wanashugulikia tatizo zaidi ya wiki tatu sasa?
Kila ukibonyeza zile code zao za kujiunga kushuhudia mabadiliko wayasemayo nakutana na ujumbe huu.." huduma hii haipatikani kwa sasa,jaribu tena baadaye".
Hao wataalamu wanafanya nini maofisini?wateja tunafanya jitiada za mwisho hivi kuwakimbia. Rekebisheni kasoro zenu.
Nimejaribu kwa nguvu zangu kuwasiliana na huduma kwa wateja wanachosema ni kwamba,tatizo linajulikana na wanalishughulikia, je nikweli wanashugulikia tatizo zaidi ya wiki tatu sasa?
Kila ukibonyeza zile code zao za kujiunga kushuhudia mabadiliko wayasemayo nakutana na ujumbe huu.." huduma hii haipatikani kwa sasa,jaribu tena baadaye".
Hao wataalamu wanafanya nini maofisini?wateja tunafanya jitiada za mwisho hivi kuwakimbia. Rekebisheni kasoro zenu.