Kwel siku ya kufa nyani.......daaah

Napoleone

JF-Expert Member
Apr 11, 2012
10,087
15,958
Za mchana viongoz..leo ndo nmeanza likizo yangu..sasa kama kawaida kuna mdada hua anakuja kufanya usafi, nampigia sim anakuja,..ingawa pia jana nilimwambia beibe aje kuanzia jion

Cha ajab amekuja saa nne asubuh,.kamkuta huyu dada anafanya usafi,..huko nyuma aliwai kuja hiv hiv akamkuta,ulizuka ugomv,..na leo kaja kamkuta tena mdada huyu huyu wa siku ile,.halaf huyu dada wa usaf sjui vp,anajijua ana tako kuliko dem wangu halaf anavaa kaptura,dah

Maskin dem wangu kaniletea sambusa za nyama hapa nmezila ile saa nne asubuh,inshort tumekula wote,ila tokea hyo asubuh,naendesha vbaya mnooo.

Yaan
1.ugomv mkali had mdada wa kaz kaondoka et atamalizia mwenyew
2.naharisha kinoma noma,had nahis nmekonda ndan ya muda mfup,af dem ananicheka et,
3.nilipania tendo la ndoa leo vbaya mno ila mpaka dk hii hata nguv za hyo kitu sina

Uzi tayar
 
Za mchana viongoz..leo ndo nmeanza likizo yangu..sasa kama kawaida kuna mdada hua anakuja kufanya usafi, nampigia sim anakuja,..ingawa pia jana nilimwambia beibe aje kuanzia jion

Cha ajab amekuja saa nne asubuh,.kamkuta huyu dada anafanya usafi,..huko nyuma aliwai kuja hiv hiv akamkuta,ulizuka ugomv,..na leo kaja kamkuta tena mdada huyu huyu wa siku ile,.halaf huyu dada wa usaf sjui vp,anajijua ana tako kuliko dem wangu halaf anavaa kaptura,dah

Maskin dem wangu kaniletea sambusa za nyama hapa nmezila ile saa nne asubuh,inshort tumekula wote,ila tokea hyo asubuh,naendesha vbaya mnooo.

Yaan
1.ugomv mkali had mdada wa kaz kaondoka et atamalizia mwenyew
2.naharisha kinoma noma,had nahis nmekonda ndan ya muda mfup,af dem ananicheka et,
3.nilipania tendo la ndoa leo vbaya mno ila mpaka dk hii hata nguv za hyo kitu sina

Uzi tayar
Dogo una kazi............
 
Back
Top Bottom