Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,086
- 15,958
Toka jana nmekua napata msg za valentino kutoka kwa mabint nao share nao dhambi hii ya uzinifu
Sasa nakua mgumu saaana kujib hiz msg,kias kwamba had nmejigundua kua nahis simpend hata m1 wao kiukwel,
Kutaman wanatamanisha kwelkwel,lakin y nashindwa.yaan inakua ngum sana kuwajib hata,"happy valentines babe"
Yaan ni ngum kwelkwel.
Maishan ni wasichana wa 2 tu ndio ambao nmewai watamkia tena mara nying nying kuwa nawapenda..
Na walikua madem wakawaida saaana,yaan hawawaingii hawa wa sasa hiv hata kdogo,ila nilikua nawapenda vbaya mno
Nmeamin uzur wa umbo au sura wa mwanamke si kigezo cha kupenda,.
Kwel kupenda na kutaman ni vtu viwil tafauti
Uzi tayar
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa nakua mgumu saaana kujib hiz msg,kias kwamba had nmejigundua kua nahis simpend hata m1 wao kiukwel,
Kutaman wanatamanisha kwelkwel,lakin y nashindwa.yaan inakua ngum sana kuwajib hata,"happy valentines babe"
Yaan ni ngum kwelkwel.
Maishan ni wasichana wa 2 tu ndio ambao nmewai watamkia tena mara nying nying kuwa nawapenda..
Na walikua madem wakawaida saaana,yaan hawawaingii hawa wa sasa hiv hata kdogo,ila nilikua nawapenda vbaya mno
Nmeamin uzur wa umbo au sura wa mwanamke si kigezo cha kupenda,.
Kwel kupenda na kutaman ni vtu viwil tafauti
Uzi tayar
Sent using Jamii Forums mobile app