Watoto wazuri sana hawa itabidi nimtafute mmoja wao mpaka nimpate.
Be careful, wanaume wao wana wivu sana
napenda nyimbo zao na mapozi yao sana sana yule aliyeimba kwetu pazuri,..hebu nichukue flight labda naweza kubahatika kupata namba yake ya simu..halafu nasikia wasabato kwa hiyo ofa yangu ya kitimoto niiweke kapuni,na wala hanywi coca cola
duh
wamekuja na passport au wameruka border kama walivyozoea?
Yule Bibie hakuwepo yupo kwenye Fungate...
Watunge na nyingine sasa....Hii Kwetu Pazuri mwishowe ITABOA......
Sidhani kama itaboa kwani bado tunasikiliza nyimbo za miaka ya nyuma kama nyimbo za Ulyankulu ni kwaya ya siku nyingi lakini nyimbo zake bado zinapendwa. Kikubwa katika muziki wa injili ni ujumbe uliopo sio midundo gitaa linavyopigwa etc. Sikiliza ujumbe utaelewa kwamba sio wimbo utakaokufanya uboreke.Watunge na nyingine sasa....Hii Kwetu Pazuri mwishowe ITABOA......