thandiwe
Senior Member
- Oct 27, 2017
- 163
- 164
Maisha niliyoyaishi mpaka umri huu kama mwanamke nimengi nimevumilia kiasi kwamba nilikuwa radhi kukubali manyanyaso na changamoto zote ili niifurahie kesho yangu.
Kwa wanajamii forum niliowahi kuonana nao wanaijua story yangu kiasi,nakiri mlinipa ujasiri sana kwa maneno yenu ya Busara.
Ndugu zangu nimejitahidi kusave chochote nilichokuwa napata katika ajira zote ndogo ndogo nilizopitia. Ili nami nisimame pekeyangu.
Ndio nikaamua kuja na wazo la Fast Food.
Hili wazo ni la muda sana kwangu japo natamani niliboreshe na kulifanya kuwa na RECIPE za kipekeyake.Tafadhali naombeni mnishike mkono katika hili kwani nimeamua kujitoa kwa moyo wote kutafuta rizki kwa mikono yangu ili kutokuwa mzigo mbeleni. Japo changamoto ni Mtaji tu wa kufanikisha hili.
Kwa wanajamii forum niliowahi kuonana nao wanaijua story yangu kiasi,nakiri mlinipa ujasiri sana kwa maneno yenu ya Busara.
Ndugu zangu nimejitahidi kusave chochote nilichokuwa napata katika ajira zote ndogo ndogo nilizopitia. Ili nami nisimame pekeyangu.
Ndio nikaamua kuja na wazo la Fast Food.
Hili wazo ni la muda sana kwangu japo natamani niliboreshe na kulifanya kuwa na RECIPE za kipekeyake.Tafadhali naombeni mnishike mkono katika hili kwani nimeamua kujitoa kwa moyo wote kutafuta rizki kwa mikono yangu ili kutokuwa mzigo mbeleni. Japo changamoto ni Mtaji tu wa kufanikisha hili.