Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,304
- 14,905
Kama nchi kwa Sasa tumeshahamisha ajenda zetu za kupambana na maadui hawa watatu toka enzi za nyerere na Sasa tupo zama nyingine ambayo Serikali ya Chama Chama Cha mapinduzi imeamua kuja na ajenda mpya hii
Janga la ukame lilishatangazwa mapema na mamlaka ya Hali ya hewa TMA lakn serikali illikuwa na ipo bize na kupambana na upinzan badala ya kutatua kero za wananchi
Leo wanakuja na hoja mfu kuwa wanarekebisha mtambo wa kufua gesi kana kwamba huu ukame n suala la ghafla TMA walitoa tahadhar toka mwezi Mei leo n November
Wapo na propaganda zao pesa za mkopo za COVID 19 wanpeana vyeo vya kujivika kuwa wamezitafuta wao wanakauli zao PESA ZA RAIS lakn wanaolipa huo mkopo n wananchi nchi yangu inaelekea wapi?
Mm naomba mje na majibu mtueleze je maadui Hawa watatu ujinga maradhi na umasikini tayari tushawamaliza?
Na Ni vp wapinzani wameturudisha nyuma kimaendeleo?
Janga la ukame lilishatangazwa mapema na mamlaka ya Hali ya hewa TMA lakn serikali illikuwa na ipo bize na kupambana na upinzan badala ya kutatua kero za wananchi
Leo wanakuja na hoja mfu kuwa wanarekebisha mtambo wa kufua gesi kana kwamba huu ukame n suala la ghafla TMA walitoa tahadhar toka mwezi Mei leo n November
Wapo na propaganda zao pesa za mkopo za COVID 19 wanpeana vyeo vya kujivika kuwa wamezitafuta wao wanakauli zao PESA ZA RAIS lakn wanaolipa huo mkopo n wananchi nchi yangu inaelekea wapi?
Mm naomba mje na majibu mtueleze je maadui Hawa watatu ujinga maradhi na umasikini tayari tushawamaliza?
Na Ni vp wapinzani wameturudisha nyuma kimaendeleo?