Kwanza TV waitwa na TCRA kujieleza kwanini wasifutwe kwa kuchapisha habari ya Ubalozi wa Marekani juu ya COVID 19

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
IMG_20200703_001324.jpg
IMG_20200703_001327.jpg
IMG_20200703_001330.jpg
IMG_20200703_001344.jpg
 
Hao kama chombo cha habari wametoa taarifa kutoka kwenye chanzo kinachoeleweka, ni jukumu la mamlaka husika na wao kutoa taarifa zao siyo mamlaka nyingine kukitisha chombo cha habari kwa kutoa taarifa zisizopendwa na serikali.

Huko tuendapo Vyombo vya habari vitatishwa kwa kutangaza ushindi wa timu za nchi nyingine dhidi ya taifa au timu za nchini.

Siyo kazi ya chombo cha habari kutangaza taarifa zipendwazo na serikali, serikali isitafsiri uzalendo kwa mtindo wa muwamba ngoma.

Itoshe tu kusema kwamba ilichokifanya TCRA ni WENDAWaZIMU.
 
Kuna mambo mengine yanachekesha sana aisee tena siyo kichekocha furaha iliacha kusikitisha kweli
 
Ingekuwa nchi yoyote hiki chombo cha habari kingepigwa ban.

Yaani hadi serikali inamwita kaimu balozi mwenyewe wa Marekani na kumtaka atoe maelezo halafu ninyi kama chombo cha habari mnaendelea kutoa habari hizo.
 
Uandishi unatakiwa ku balance hasa kwenye issue sensitive kama hizo.Upande wa serikali haukuulizwa na hizo habari mwandishi ha ku confirm na wizara ya afya

Pia hilo tamko la ubalozi wa marekani lina walakini kisayansi ona unasema kuwa kitisho cha maambukizi ya virusi vya corona jijini Dar es Salaam na maeneo mengine kipo juu mno kwa sababu serikali haijatoa takwimu za ugonjwa wa COVID19 !!!!!!

Hivi kiini cha maambukizi ya Corona kuwa kubwa ni sababu ya takwimu? takwimu ndizo zinasambaza corona? takwimu ndio wadudu wa corona? Na kuwa tiba ya Corona ni takwimu ukizitoa ndipo watu wanapona!!!

Mwandishi alitakiwa ajiridhishe kisayansi kama ni kweli takwimu ndizo zinasambaza Corona kuwa kadri unavyotoa takwimu sanaaaa Corona inapungua!!! Marekani wanatoa takwimu sana kila saa Corona mbona haishuki?
 
Uandishi unatakiwa ku balance hasa kwenye issue sensitive kama hizo.Upande wa serikali haukuulizwa na hizo habari mwandishi ha ku confirm na wizara ya afya

Pia hilo tamko la ubalozi wa marekani lina walakini kisayansi ona unasema kuwa kitisho cha maambukizi ya virusi vya corona jijini Dar es Salaam na maeneo mengine kipo juu mno kwa sababu serikali haijatoa takwimu za ugonjwa wa COVID19 !!!!!!

Hivi kiini cha maambukizi ya Corona kuwa kubwa ni sababu ya takwimu? takwimu ndizo zinasambaza corona? takwimu ndio wadudu wa corona? Na kuwa tiba ya Corona ni takwimu ukizitoa ndipo watu wanapona!!!

Mwandishi alitakiwa ajiridhishe kisayansi kama ni kweli takwimu ndizo zinasambaza Corona kuwa kadri unavyotoa takwimu sanaaaa Corona inapungua!!! Marekani wanatoa takwimu sana kila saa Corona mbona haishuki?
Kwa kuangalia Press Release iliyotolewa, Mwandishi alitakiwa ajiridhishe nini kwa mfano?!

Alitakiwa ajiridhishe kwanza kwamba Press Realese husika ni kweli imetolewa na US Embassy, au?!

Alitakiwa ajiridhishe kwanza ikiwa ni kweli US Department of States imetoa a Global Level 4 Advisory for COVID-19?

Alitakiwa ajiridhishe kwanza ikiwa ni kweli risk ya kupata COVID-19 in Tanzania bado ni kubwa?

Alitakiwa ajiridhishe kwanza ikiwa ni kweli Ubalozi wameshauri wananchi wao kuendelea kuchukua tahadhari?

Alitakiwa ajiridhishe kwanza kama ni kweli health facilities ZINAWEZA kuelemewa?

Alitakiwa ajiridhe kwanza ikiwa ni kweli uwezo mdogo wa hospitali zilizopo INAWEZA kusababisha kuelemewa?

Alitakiwa ajiridhishe kwanza ikiwa ni kweli serikali imeondoa vikwazo vya usafiri kwa international flights?

Alitakiwa ajiridhishe kwanza ikiwa ni kweli US Embassy inafahamu kuna mashirika kadhaa ya ndege yamepanga kufanya safari zake kuingia Tanzania

Alitakiwa ajiridhishe kwanza ikiwa ni kweli mashirika ya ndege yaliyotajwa yanapokea online reservation?!

Or, ni kipi hasa alitakiwa kwanza kujiridhisha kwa kuangalia the said Press Release ambayo ni:-

Release.png
 
Kwa kuangalia Press Release iliyotolewa, Mwandishi alitakiwa ajiridhishe nini kwa mfano?!

Alitakiwa ajiridhishe kwanza kwamba Press Realese husika ni kweli imetolewa na US Embassy, au?!

Alitakiwa ajiridhishe kwanza ikiwa ni kweli US Department of States imetoa a Global Level 4 Advisory for COVID-19?

Alitakiwa ajiridhishe kwanza ikiwa ni kweli risk ya kupata COVID-19 in Tanzania bado ni kubwa?

Alitakiwa ajiridhishe kwanza ikiwa ni kweli Ubalozi wameshauri wananchi wao kuendelea kuchukua tahadhari?

Alitakiwa ajiridhishe kwanza kama ni kweli health facilities ZINAWEZA kuelemewa?

Alitakiwa ajiridhe kwanza ikiwa ni kweli uwezo mdogo wa hospitali zilizopo INAWEZA kusababisha kuelemewa?

Alitakiwa ajiridhishe kwanza ikiwa ni kweli serikali imeondoa vikwazo vya usafiri kwa international flights?

Alitakiwa ajiridhishe kwanza ikiwa ni kweli US Embassy inafahamu kuna mashirika kadhaa ya ndege yamepanga kufanya safari zake kuingia Tanzania

Alitakiwa ajiridhishe kwanza ikiwa ni kweli mashirika ya ndege yaliyotajwa yanapokea online reservation?!

Or, ni kipi hasa alitakiwa kwanza kujiridhisha kwa kuangalia the said Press Release

Alitakiwa ajiridhishe kwanza ikiwa ni kweli risk ya kupata COVID-19 in Tanzania bado ni kubwa,ya wastani au iko chini au haipo kabisa na na ajiridhishe kuwa maambukizi ni kweli yako juu na yanaendelea kuwa juu kama ubalozi wa marekani unavyodai? Sababu tamko lao ubalozi sio la Mungu linahitaji independent verification ya Mwandishi kabla kuchapisha


Pili Alitakiwa ajiridhishe Kupitia wizara ya afya athibitishe ikiwa ni kweli hospitali zetu zina uwezo na mdogo kama ubalozi ulivyosema na kuwa zilizopo zinaweza kulemewa kama zinazodaiwa na ubalozi
 
li awamu linaudhi hili sijawahi kuona, hapo hao jamaa walitakiwa kutangaza MAFANIKIO ya SIRIkali ndio ingekuwa sawa kwa watawala tofauti na hapo ni makosa
 
Uandishi unatakiwa ku balance hasa kwenye issue sensitive kama hizo.Upande wa serikali haukuulizwa na hizo habari mwandishi ha ku confirm na wizara ya afya

Pia hilo tamko la ubalozi wa marekani lina walakini kisayansi ona unasema kuwa kitisho cha maambukizi ya virusi vya corona jijini Dar es Salaam na maeneo mengine kipo juu mno kwa sababu serikali haijatoa takwimu za ugonjwa wa COVID19 !!!!!!

Hivi kiini cha maambukizi ya Corona kuwa kubwa ni sababu ya takwimu? takwimu ndizo zinasambaza corona? takwimu ndio wadudu wa corona? Na kuwa tiba ya Corona ni takwimu ukizitoa ndipo watu wanapona!!!

Mwandishi alitakiwa ajiridhishe kisayansi kama ni kweli takwimu ndizo zinasambaza Corona kuwa kadri unavyotoa takwimu sanaaaa Corona inapungua!!! Marekani wanatoa takwimu sana kila saa Corona mbona haishuki?
Kwan hua magazeti yanayoandika corona imeisha Tanzania hua wanaenda kuuliza ubalozi kwanza?

"Ubalozi ni nchi ndani ya nchi"
 
Back
Top Bottom