polokwane
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 3,361
- 5,808
Nyie wanasiasa waoneeni huruma hao walimu mnao wakabidhi watoto wa aina hiyo.
Wazo la kwanza kuwawekea mfumo wao lilikuwa zuri sana lakini hili la kuwachanganya na wanafunzi wengine katika mfumo rasmi hapana.
Nitajieni ni nchi gani Ulaya na Amerika ambayo inatumia mfumo huu unao letwa Tanzania.
Nadhani sasa tume halalisha mapenzi shuleni nadhani sheria za shule zirekebishwe swala la mapenzi na mimba lisiwe kosa tena si kwa mabint si kwa vijana.
Wazo la kwanza kuwawekea mfumo wao lilikuwa zuri sana lakini hili la kuwachanganya na wanafunzi wengine katika mfumo rasmi hapana.
Nitajieni ni nchi gani Ulaya na Amerika ambayo inatumia mfumo huu unao letwa Tanzania.
Nadhani sasa tume halalisha mapenzi shuleni nadhani sheria za shule zirekebishwe swala la mapenzi na mimba lisiwe kosa tena si kwa mabint si kwa vijana.