sindesunde
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 358
- 346
Nisipoteze muda twendeni GSB wameanzisha jackpot Mpya mechi ukula laki 5 Hakuna maelezo mengine kama zilivyo jackpots zinging jana nikacheza mikeka 2 yote imetiki naangalia balance ktk account Nikita tsh 560/= Kama bonasi nikawapigia simu wakawa awapokie.
Nikaona isiwe tabu asubuhi niaenda ofisini kwao fire pale naingia ndani nakuta watu wamejaa wakilalamika pesa wanayotakiwa kupewa akaja mfanyakazi mmoja kutoa ufafanuzi kua walioshinda ni wengi kwa kiasi kilichotowa kwa 500000 kimegaiwa kwa washindi wote kila mkeka atapatiwa tsh287/=hapo ndio ukatokea mzozo mkubwa muda huo watu wanakuja kutoka ktk mablachi yao ndani kukufurika.
Ikibidi shughuri zote zisimame wangine wakaenda polisi baada ya polisi hao kwa kuo polisi walivyo sikiliza wakashindwa kutoa maamuzi kwakua awajui sheria za michezo ya kubatisha polis wakatoa Shauri tuende ktk bodi ya michezo ya kubahatisha wakaondoka kama raia 100 hivi wengine wakabaki pale.
Walivyofika kule wakatoa maelezo ikabidi yule kiongozi akasema iandikwe barua ya malalamiko wao wataifanyia na kufutila haki iko wapi hapo ndio alipo waona wauni sio poa ikabidi atoe shauri warudi pale gsb yeye atakaja na viongozi wengene wajae kujua zaidi. Wahuni wakageuka kufika wanakuta watu wamezidi pale njee punde yule kiongozi akaja akaenda ofisini sijui waliongea nini akaja na sela tuchague viongozi tuandike majina yetu alafu wao watafutia nini tatizo akawatibua wahuni tena moto ukawaka ikabidi iongezwe difenda nyingine askari wakaambiwa hapa hakuna ugomvi pesa tu na huyuzee kaja kaenda huko ndani ajatuambia nini alichongea na hao viongozi wa gsb. Basi yule akaenda kurudi vilevile ajaongea alichoambiwa huko ndani hali ya hewa ikaanza kuchaka wajomba wakaa standby na wakaongezwa wajomba chap ikatolewa amri aisisogee mtu pale basi wahuni wakasema wanaenda kwa mkuu wa mkoa ilikua jioni hiyo.
Mie niakenda kwenye kufutilia mambo yangu ila update zitakuja hayo ndio yaliotekea ktk jackpot manana mkeka win Laknia ata pesa uliobetia wamepita nayo ngozi nyeupe wanajua kusaka peas
Nikaona isiwe tabu asubuhi niaenda ofisini kwao fire pale naingia ndani nakuta watu wamejaa wakilalamika pesa wanayotakiwa kupewa akaja mfanyakazi mmoja kutoa ufafanuzi kua walioshinda ni wengi kwa kiasi kilichotowa kwa 500000 kimegaiwa kwa washindi wote kila mkeka atapatiwa tsh287/=hapo ndio ukatokea mzozo mkubwa muda huo watu wanakuja kutoka ktk mablachi yao ndani kukufurika.
Ikibidi shughuri zote zisimame wangine wakaenda polisi baada ya polisi hao kwa kuo polisi walivyo sikiliza wakashindwa kutoa maamuzi kwakua awajui sheria za michezo ya kubatisha polis wakatoa Shauri tuende ktk bodi ya michezo ya kubahatisha wakaondoka kama raia 100 hivi wengine wakabaki pale.
Walivyofika kule wakatoa maelezo ikabidi yule kiongozi akasema iandikwe barua ya malalamiko wao wataifanyia na kufutila haki iko wapi hapo ndio alipo waona wauni sio poa ikabidi atoe shauri warudi pale gsb yeye atakaja na viongozi wengene wajae kujua zaidi. Wahuni wakageuka kufika wanakuta watu wamezidi pale njee punde yule kiongozi akaja akaenda ofisini sijui waliongea nini akaja na sela tuchague viongozi tuandike majina yetu alafu wao watafutia nini tatizo akawatibua wahuni tena moto ukawaka ikabidi iongezwe difenda nyingine askari wakaambiwa hapa hakuna ugomvi pesa tu na huyuzee kaja kaenda huko ndani ajatuambia nini alichongea na hao viongozi wa gsb. Basi yule akaenda kurudi vilevile ajaongea alichoambiwa huko ndani hali ya hewa ikaanza kuchaka wajomba wakaa standby na wakaongezwa wajomba chap ikatolewa amri aisisogee mtu pale basi wahuni wakasema wanaenda kwa mkuu wa mkoa ilikua jioni hiyo.
Mie niakenda kwenye kufutilia mambo yangu ila update zitakuja hayo ndio yaliotekea ktk jackpot manana mkeka win Laknia ata pesa uliobetia wamepita nayo ngozi nyeupe wanajua kusaka peas