wanajamvi nipeni majibu kwa nn wachaga,wapare na baadh ya makabila ya pande za kaskazini wanapenda sna kuishi maeneo ya kimara hadi mbez..
Wakikaka Kariakoo Noah watafugia wapi ?
Na mimi najiuliza kila wakati kwa nini Wamakonde wengi wanaishi Mbagala!!
Napatia lift hapahapa nami ya kuuliza kwanini warangi huishia Ngarenaro tu hapa Arusha?
Na mimi najiuliza kila wakati kwa nini Wamakonde wengi wanaishi Mbagala!!
wanajamvi nipeni majibu kwa nn wachaga,wapare na baadh ya makabila ya pande za kaskazini wanapenda sna kuishi maeneo ya kimara hadi mbez..
shemeji
Wanaishi kule ili iwawie urahisi wa Kwenda Temeke Sudani Stand kupanda mabasi ya kwao Mtwara.
Na mimi najiuliza kila wakati kwa nini Wamakonde wengi wanaishi Mbagala!!
Ni Ntwara.
Una utani na Wakwe zako?
Napatia lift hapahapa nami ya kuuliza kwanini warangi huishia Ngarenaro tu hapa Arusha?
Hahaha! Kwasababu ngarenaro ni kubwa kuliko Arusha! Wapo pia majengo juu lol, matejoo pia wamejazana sana!
Nimelenga penyewe ee?
Haya.