moodykabwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 625
- 602
Kwa heshima kubwa naomba kujua kufutwa kwa uzi ulionesha ufisadi wa Malinzi humu!!
Majungu gani wakati alieandika kasema kama ni uongo malizi aje akanushe humu!!!!Kumbe hata Malinzi nae fisadi na sio Lowassa tena??bora mmeufuta tuu sababu hauna maana yoyote ile zaidi ya majungu na kuchafuana.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app