kwaninin ,magari ya UDA haandikwi njia yaani rout

mbalila

JF-Expert Member
Jul 19, 2013
823
157
habri za wikiendi wa JF mimi nimekuwa niijiuliza kwanini mabasi ya UDA hayaandikwi majina ya njia yanapoanzia na kuishia ,nilchokina ni namba ya mabasi hayo kwa mbele ,hata rangi yote yamepakwa rangi nyekndu na njano tu








418187_10150720984938420_416779873_n.jpg






419019_10150720985913420_2033299647_n.jpg









images
2Q==
2Q==
9k=
 
Hata mimi huwa najiuliza. Yaani wameshindwa hata kuweka kibao kwenye kioo cha mbele kama ilivyokuwa zamani. Sumatra wapo wapi?
 
Yakiandikwa madereva na makonda wake watakonda...maana wenyewe huelekea sehemu yenye abiria wengi na
Kusipokuwa na foleni. Yakishusha abiria kituoni yanaangalia upepo wapi kwenye abiria wengi.... Na route huanzia hapo!
 
UDA wamepewa rout zote za jiji,hata hivyo kama wakipangiwa njia madereva watakufa njaa na pengine kushindwa kufanya kazi kabisa,hapa tu wanatakiwa wapeleke hesabu laki mbili kwa siku na hela ya mafuta isiyopungua laki na nusu pamoja na yakuosha gari'havyo kwa siku watafute hela isiyopungua laki 3 nusu ndipo watafute posho yao,na hesabu ikipungua hao viongozi wa UDA hawaelewi somo,na ndio sababu UDA ya leo wanapagawa kuliko daladala za kawaida,
 
Ninachofurahia mimi hawa jamaa wa UDA nao wanaonjaga joto ya jiwe ya traffic wetu.. kukamatwa kuko pale pale
 
Sababu mwenye hayo Mabasi ni Mkware,mpenda Dogo Dogo so yakipigwa mkorogo hata pata fursa ya kwenda route zenye Dogo Dogo wengi wazuri.
 
Back
Top Bottom