Kwanini Zitto na Lowassa wanapotajwa kuhusu urais kelele zinakuwa nyingi?

Jibu ni Rais hawana sifa ya kuwa marais na pili njia wanazotumia kutaka kuupata huo urais hazikubaliki na watu wengi, Pia wanauchu wa madaraka uliopitiliza mipaka ya wezekana wanasukumwa na watu na si nia zao kugombea nafasi hio, angalia matuizi ya vyombo vya hbr mpaka unahisi wanalipa ili taarifa zao ziandikwe vizuri na Unafiki ni mwingi, Angalia ya zitto kila mtu anakanusha kwamba hakusema yaliyoandikwa kwenye magazeti, huu usanii unakera watanzania
 
si kila mtu anahakia ya kugombea mkuuuu??? tungoje maamuzi ya chama

Umeekeweka dk Slaa vp na ile kauli ya leo ya Mch Msigwa? Ndio msimamo wa chadema yetu? Na ndio maana ZZK hatakiwa sababu si wa imani hiyo? Naomba ufafanuzi mh Slaa
 
Kwa nini habari yoyote ya ndugu hawa kuhusu kugombea urais hupigiwa kelele sana? Je, hawafai au wanaogopwa na mahasimu wao wa kisiasa?


Wahenga wanasema Debe tupu ndilo linalopiga kelele...


Ila yooooote tisa washabiki na wapenzi wa Simba Sports Club
wamesusia kufturu Chapati zinazotengenezwa na
kiwanda cha Azam.
Hii inatokana na kipigo cha Gombania Daku
walichokipata hivi karibuni
 
zitto anatamaa sana pamoja na lowasa sisi chadema tulishasema rais ni DR SLAA sasa sijui zito analeta wapi propaganda au katumwa nini na mafisadi kuharibu chadema

nilidhani ni watanzania ndio waliosema ... chadema kuja kukamata hii inchi ni far from reality na InshaAllah mungu aepushilie mbali hilo jambo ..
 
Hivi ZITTO ANAJIONA ANAPENDWA NA KUAMINIWA SANA NA WANANCH mpaka anasema ni lazma awe rais?
 
Wote wana
tamaa ya urais. Na tamaa ni
kitu kibaya sana. Mwalimu aliashiria kwamba mtu mwenye tamaa ya kwenda ikulu akiwa bado kwenye early stages tumwogope kama UKOMA a.k.a UKIMWI.
 
Kwa nini habari yoyote ya ndugu hawa kuhusu kugombea urais hupigiwa kelele sana? Je, hawafai au wanaogopwa na mahasimu wao wa kisiasa?

Wote wana
tamaa ya urais. Na tamaa ni
kitu kibaya sana. Mwalimu
aliashiria kwamba mtu
mwenye tamaa ya kwenda
ikulu akiwa bado kwenye early
stages tumwogope kama
UKOMA a.k.a UKIMWI.
 
hapa ndipo mimi napata shida sana napoona nyie pro-ccm mnampigia debe zitto na kumkataa Dr.slaa.
si wanajua zitto ni mwenzao lazima washinde lakini wanapo sikia DR wanapatashida maana wanajua mziki wake.
 
hapa ndipo mimi napata shida sana napoona nyie pro-ccm mnampigia debe zitto na kumkataa Dr.slaa.


Hicho kikao cha kumpitisha Dr Slaa ulikaa wewe na nani mkampitisha kuwa ndio agombee?najua kiti cha urais CDM kiko wazi yyte mwanachama anaruhusiwa kutangaza nia,
 
Haya ndio majembe kabambe yaliyobaki TZ, na wana misimamo ndani ya vyama vyao hawataki upuuzi wa ajabuajabu na ndio maana ndani ya vyama vyao wanapigwa vita sana na kuchafuliwa ila tukimpata mmoja kti ya hawa tutaweza songa mbele ktk nchi yetu. Siangalii chama naangalia Mtu


Mwanaharakati hapo naunga mkono hoja mia kwa mia,haya ndio majembe yaliyobaki Tz ndio maana watu wakisikia jina tu hapa mapovu yanawatoka,wanatumia nguvu nyingi mno kutaka kuwazima lakini ukweli hawa jamaa ni zaidi ya CCM na CDM
 
Wahenga wanasema Debe tupu ndilo linalopiga kelele...


Ila yooooote tisa washabiki na wapenzi wa Simba Sports Club
wamesusia kufturu Chapati zinazotengenezwa na
kiwanda cha Azam.
Hii inatokana na kipigo cha Gombania Daku
walichokipata hivi karibuni

:biggrin1:
Pole yao
 
Kwa nini habari yoyote ya ndugu hawa kuhusu kugombea urais hupigiwa kelele sana? Je, hawafai au wanaogopwa na mahasimu wao wa kisiasa?

Lowasa na Zito HAWAFAI.
Laiti wangekuwa wanafaa, wasingeshambuliwa kwa maneno kiasi hiki.
 
Jibu ni rahisi sana sababu wote wanashauku ya kuwa rais lakini hawana mikakati ya kusaidia watanzania.
 
Sii kwamba wanaogopwa ila wanaushawishi mkubwa kwenye siasa, mipango yao ni kimya kimya na wanapoibuka huwa wanaibuka na point tuu.

Pia wote ni wachapa kazi ingawa mmoja wana dai kwamba ni fisadi ila hamna ushahidi wowote au wa moja kwa moja mike ninawakubali asilimia 100. yeyote kati ya hawa mzee wa monduli au kijana wa kigoma wakamate nchi nahisi kila mmoja ataikumbuka hii comment yangu kwa kipindi hicho
 
Back
Top Bottom