Master Legendary
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 549
- 785
Habari za asubuhi Wakuu.
Mimi nina maswali mengi yasiyo na majibu kuhusu vita inayoendelea ya Katiba Mpya.
Nimeshangaa sana kuona Zitto na Lipumba wamejitenga kabisa na hii Movement as if wao sio waathirika kabisa wa Katiba iliyopo.
Zitto amekuwa na hii Historia ya Undumilakuwili na usaliti kwenye harakati ila hata katika hili anakosa aibu kidogo hata ya kupaza sauti wenzie wasikamatwe?
Nimemsikia Mbatia kidoogo angalau na yeye aliongea kitu ila Zitto na Lipumba kimya.
Kama ndiyo aina ya Wanasiasa tulionao kweli tuna safari ndefu sana.
Mimi nina maswali mengi yasiyo na majibu kuhusu vita inayoendelea ya Katiba Mpya.
Nimeshangaa sana kuona Zitto na Lipumba wamejitenga kabisa na hii Movement as if wao sio waathirika kabisa wa Katiba iliyopo.
Zitto amekuwa na hii Historia ya Undumilakuwili na usaliti kwenye harakati ila hata katika hili anakosa aibu kidogo hata ya kupaza sauti wenzie wasikamatwe?
Nimemsikia Mbatia kidoogo angalau na yeye aliongea kitu ila Zitto na Lipumba kimya.
Kama ndiyo aina ya Wanasiasa tulionao kweli tuna safari ndefu sana.