Void ab initio
JF-Expert Member
- Mar 1, 2015
- 5,703
- 5,635
Tuliokua wanachama waaminifu wa Chadema tuko mtaani tunasambaza sumu. Huu mgogoro umetufumbua mengi tuliyokua hatujui dhidi ya huu ukoo wa panya wa Mtei.
Yaani huku ni mwendo wa kutema sumu kama nyoka.