KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Waziri Mkuu alimuumbua Zitto kwa kumtaja jina kabisa bungeni kuwa alimsikia kwenye moja ya mikutano yake akiwadanganya wananchi kuwa yeye anapokea zaidi ya mil 25.
Zitto ninayemfahamu mara nyingi huwa anajibu tuhuma na hasa kupitia mitandao ya kijamii kukanusha tuhuma yeyote ambayo imejibiwa tofauti na yeye alivyoianzisha.
Ni zaidi ya siku 5 sasa tangu Mh Pinda amwita Zitto muongo bungeni na Zitto hajajibu chochote.
Je hii ni dalili Zitto hataki kunyea kambi labda mda wowote anaweza akaomba hifadhi?
Na vipi kuhusu vurugu zinazozidi kuirorotesha CDM? Je haoni busara kulaani vurugu hizo?
Zitto ninayemfahamu mara nyingi huwa anajibu tuhuma na hasa kupitia mitandao ya kijamii kukanusha tuhuma yeyote ambayo imejibiwa tofauti na yeye alivyoianzisha.
Ni zaidi ya siku 5 sasa tangu Mh Pinda amwita Zitto muongo bungeni na Zitto hajajibu chochote.
Je hii ni dalili Zitto hataki kunyea kambi labda mda wowote anaweza akaomba hifadhi?
Na vipi kuhusu vurugu zinazozidi kuirorotesha CDM? Je haoni busara kulaani vurugu hizo?