Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,197
- 25,516
- Thread starter
- #201
Majibu atayatoa Mwanasheria Mkuu wa Serikalilabda tuanzie hapa kwani kunakosa lipo hapo au ni sheria au kanuni ipi imevunjwa...!? tukumbuke pia ni mbunge halali aliyechaguliwa na wananchi na hapo pia alikua anawawakilisha wananchi wake kama mbunge hakua anaisemea familia yake. na ndio maana alianza kwa kujitambulisha wadhifa wake na kuweka dhumuni kuu la barua.