Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 10,526
- 13,013
Wapi nilipokiri kuwa hakuna sheria iliyovunjwa?Kwahiyo kama unakiri hakuna sheria iliyovunjwa,unadhani Ndugai na CCM wenzake watamshugulikia kwa sheria ipi wakati hata wewe mwandishi unakiri hakuna sheria iliyovunjwa?
Kwahiyo unakiri ni mwendelezo wa vitisho na kelele zenye lengo la kuwanyamanzisha wanaounga mkono maoni ya Zitto
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaonekana kuwa hujaisoma barua husika. Umebaki kwenye kuhusu na kuhoji usichokijua. Isome kwanza halafu ndiyo uje na maswali yako.Nimemuuliza, anajuaje maneno ya barua ni ya Zitto mtu binafsi na si Zitto kama muwakilishi wa wananchi?
Anajiumauma mpaka sasa hajajibu kitu cha kueleweka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, ndiyo maana Bunge linasubiri kumuuliza ZitoUnataka kusema kuwa walioandikiwa barua hawamjui msemaji wa Bunge letu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajichanganya sana!Kuna mahali nimesema kuna sheria imevunjwa? Hebu soma tena
Unajiabisha sana wewe mtu na hata uteuzi hatutakupatiaKuna mahali nimesema kuna sheria imevunjwa? Hebu soma tena
Nimeshakquestion mara nyingi kuhusu huyu mwanasheria wetu .... something clearly does not add up!!Naamini wewe ni mwanasheria ila unanishangaza sana unapokuwa unaandika kama mtu aliyesoma Political Science.
Kabla ya kuongea au kaundika fanya utafiti kwanza halafu uje na legal issues kwa kuonesha wapi sheria imevunjwa na legal implication yake ni nini.
Ahsante sana.
Mwenye mamlaka ya kuomba mkopo ni waziri wa fedha.Angetumia kuandika mazuri ya inchi au kuombea mkopo kwa ajili ya watanzania angekuwa amefanya sawa kutumia nembo ya bunge?
kumtaja Zitto kama "Zito" haina tofauti na Zitto kutumia nembo ya bunge.Kwanza niseme wazi kuwa hapa sizungumzii maudhui ya barua ya Zito Z. Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini(ACT-Wazalendo) kwa Benki ya Dunia kuhusu mkopo wa elimu wa benki hiyo kwa nchi yetu pendwa ya Tanzania.
Hapa nazungumza kwa kuuliza kwanini Zito atumie nembo ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuandika barua yake binafsi kwa Benki ya Dunia. Katika barua hiyo(ambayo hata humu JF iliwekwa), Zito ametumia 'headed paper' ya Bunge ingawa barua ina maneno binafsi.
Kutumia nembo ya ofisi ni kutaka kuaminisha kuwa mwandishi anasema kwa niaba ya ofisi husika. Ni kuaminisha kuwa Bunge linaijua barua yake na hoja zake. Ni kuaminisha kuwa Bunge linayatamka yaliyo kwenye barua husika.
Kwangu mimi, kutumia nembo ya Bunge ni kulialika Bunge kwenye suala linalohusika na barua hiyo ya Zito. Ni kulipa Bunge uhalali wa 'kumshughulikia' Zito kadiri ya Katiba, Sheria, Kanuni, Miongozo na Mazoea yanayoliongoza Bunge hilo.
Asije akalia na kusaka huruma ya wananchi!
usihofu mkuu, wale wengi wao ni vil.za tuu hakuna walijualo!.Mkuu, ndiyo maana Bunge linasubiri kumuuliza Zito
Hebu taja Sheria/kanuni ya Bunge iliyovyunjwa kwa Yeye kutumia Nembo hiyo Ya Bunge.Tofautisha kuwa Mbunge na kutumia nembo ya Bunge
Naamini wewe ni mwanasheria ila unanishangaza sana unapokuwa unaandika kama mtu aliyesoma Political Science.
Kabla ya kuongea au kaundika fanya utafiti kwanza halafu uje na legal issues kwa kuonesha wapi sheria imevunjwa na legal implication yake ni nini.
Ahsante sana.