Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,192
- 25,493
- Thread starter
- #21
Wewe wasema!
Wewe wasema!
Kama unajua sheria haijavunjwa, kwanini unasema hiyo ndo imeharalisha yeye ashughulikiwe? Ashughulikiwe kwa kuvunja au kukiuka sheria gani?Kuna mahali nimesema kuna sheria imevunjwa? Hebu soma tena
Hata kuulizwa kama hilo swali langu ni kushughulikiwa MkuuKama unajua sheria haijavunjwa, kwanini unasema hiyo ndo imeharalisha yeye ashughulikiwe? Ashughulikiwe kwa kuvunja au kukiuka sheria gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Naamini wewe ni mwanasheria ila unanishangaza sana unapokuwa unaandika kama mtu aliyesoma Political Science.
Kabla ya kuongea au kaundika fanya utafiti kwanza halafu uje na legal issues kwa kuonesha wapi sheria imevunjwa na legal implication yake ni nini.
Ahsante sana.
Kuhalalisha kushughulikiwa na Bunge maana yake ni nini? kwa maana hiyo si kavunja sheria au? Watu huwa tunaenda mbali zaidi ya ulichokiandika brother. Siyo lazima ukiandike bali huwa tunajua kusoma dhamira na nia yako ni nini( conscience & intent).Kuna mahali nimesema kuna sheria imevunjwa? Hebu soma tena
Kuna mahali nimesema kuna sheria imevunjwa? Hebu soma tena
Siyo wewe tu mkuu, Kiranga.Nilivyoona "head paper" tu nikajua hapa kazi ipo.
Hawa ndio graduates wetu wa sheria UDSM.
Unfuckingbelievable.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lako hasa ni lipi mbunge akitumia letterhead ya bunge?Wewe wasema!
Reasoning yake bado ni changa sana.Acha ujanja ujanja wa kimahakama ya kuhoji ndio au hapana.
Maudhui yako yanalenga kutuonesha sisi ambao hatujajua sheria vizuri kwamba zitto amefanya kosa flani kutumia nembo ya Bunge.
Sasa bwana Petro ukianza kukimbia kimbia badala ya kutoa ufafanuzi ni kama vile unaogopa kitu flani.
Mwanasheria huwezi kuandika:
Kwanini Zito alitumia nembo ya Bunge kuandika barua binafsi kwa Benki ya Dunia? Kwangu mimi huko ni kuhalalisha 'kushughulikiwa' na Bunge
halafu ukasema eti hujasema kavunja sheria gani, sasa kwa nini ashughulikiwe na bunge? kama hakuvunja sheria au kanuni.
Jibuni swali. Acheni kuanza kuchambua na kutanua uwanjaReasoning yake bado ni changa sana.
Jibuni swali. Acheni kuanza kuchambua na kutanua uwanja
Mkuu, jibu swali: kwanini atumie nembo ya Bunge kwa barua yake binafsi?
Sasa unaweweseka nini? Pita kimyaSamahani mkuu, siwezi jibu swali la kitoto mkuu.
Nimeuliza hapo juu.Mkuu, jibu swali: kwanini atumie nembo ya Bunge kwa barua yake binafsi?
Improve your reasoning.Sasa unaweweseka nini? Pita kimya
Maneno ya barua hiyo hayaonyeshi kama ni ya uwakilishi. Ni yake binafsi.Nimeuliza hapo juu.
Unajuaje kwamba hii ni barua yake binafsi na si barua yake kama muwakilishi wa wananchi, mbunge?
Hujanijibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe sasa hapo una reasoning gani?Improve your reasoning.