Kwanini Zanzibar ni maarufu ulaya na Amerika kuliko Tanzania wakati ni nchi moja?

Ki uhalisia kwa watu ambao tumeishi katika mataifa mbalimbali Zanzibar ni maarufu na inajulikana kuliko jina la Tanzania au Tanganyika

Ukiwa na rafiki wa kutoka je ya nchi mkakutana kwenye ndege au uwanja wa ndege uki jitambulisha kwamba unatoka Africa mashariki, tegemea responce yake kama hi: "last year I visted the island of zazibar", ua atakuuliza "have you ever been in at the Island of Zanzibar"?

Zenji ni kama utambulisho wa Africa mashariki, na ni vigumu Mzungu/raia wa nje kukuuliza eti have you ever visited Dodoma au Shinyanga kwa nini?

Ni kama unavoona Britain inasikika kuliko Wales, Ireland na Scotland wakati wote wako ndani ya muungano wa United kingdom (UK) ndo maana mpaka leo Northern Ireland inataka kujitenga inaona kuna unfair game kwake kutoka Britain

Kwanini Zanzibar ifunike Tanzania wakati kila kitu inaizidi Zanzibar hiyo ni fair kweli? au Watanganyika wametanguliza siasa kila jambo ndo maana hata hawauziki nje ya Nchi.
Arusha kuna vumbi, mvua ikinyesha kuna tope balaa kiufupi huko walipaswa kukaa wanyama aridhi iko kama mbuga
 
Ilifanywa makusudi wakati wa kuungana, Nyerere hakutaka Zanzibar ipoteze asili yake lakini alitegemea vizazi vya wazanzibar vinavyokuja vingeona manufaa ya muungano vingedai tuwe nchi moja lakini kadri tunavyoendelea wanazidi kujiona waoman
Sio kweli shinikizo la Muungano lilitoka Marekani na Uingereza ili kuiepusha Zanzibar kuwa Quba ya Afrika
 
Unajadili vitu tofauti hapa hatuzungumzii kwanini Zanzibar na Tanganyika ziliungana Bali kwanini Zanzibar ni maarufu kuliko Tanzania
Ni kweli ila mimi nimejibu ulicho andika wewe na sio mada, hata hivyo tunaweza kuendelea na mjadala kwanini Zanzibar ni maarufu. Ahsante
 
KUWEPO NA ZANZIBARA NA ZANZIBARI MWAONAJE YAKHEEE!(ZANZ BAR SIO JINA ZURI SANA MAANA NI LA UBAGUZI) MAANA YAKE NI "GOLO" au "KIUMBE CHEUSI"
 
Hata Dubai ni maarufu kuliko Nchi husika yaani United Arab Emirates,Dubai ni mji uliopo ndani ya UAE,
Dubai sio nchi,ni jimbo tu kama ilivyo California USA,

Kuna miji hua maarufu kuliko Nchi husika coz watalii huitembelea zaidi hiyo miji.
Kama Moshi ilivyokuwa maarufu kuliko Kilimanjaro
 
Ki uhalisia kwa watu ambao tumeishi katika mataifa mbalimbali Zanzibar ni maarufu na inajulikana kuliko jina la Tanzania au Tanganyika

Ukiwa na rafiki wa kutoka je ya nchi mkakutana kwenye ndege au uwanja wa ndege uki jitambulisha kwamba unatoka Africa mashariki, tegemea responce yake kama hi: "last year I visted the island of zazibar", ua atakuuliza "have you ever been in at the Island of Zanzibar"?

Zenji ni kama utambulisho wa Africa mashariki, na ni vigumu Mzungu/raia wa nje kukuuliza eti have you ever visited Dodoma au Shinyanga kwa nini?

Ni kama unavoona Britain inasikika kuliko Wales, Ireland na Scotland wakati wote wako ndani ya muungano wa United kingdom (UK) ndo maana mpaka leo Northern Ireland inataka kujitenga inaona kuna unfair game kwake kutoka Britain

Kwanini Zanzibar ifunike Tanzania wakati kila kitu inaizidi Zanzibar hiyo ni fair kweli? au Watanganyika wametanguliza siasa kila jambo ndo maana hata hawauziki nje ya Nchi.
Hata mlima Kilimanjaro na mbuga ya Serengeti ni maarufu sana kuliko Tanzania kama nchi.Sio jambo la ajabu,
Zanzibar inachukuliwa kama kivutio Cha utalii na sehemu ya historia,lakini Zanzibar kama nchi na watu wake,hawana upekee wowote huko nje.
Nikupe mfano kidogo,Israel inafahamika kwa kuwa na watu wenye Elimu kubwa na wavumbuzi wa mambo ya sayansi kwenye nyanja nyingi.
Ethiopia Kuna wanaliadha wazuri sana,
India ina wahandisi wengi wa IT,Zenj Kuna nini?ni kivutio tu kama kwenda kumuangalia Simba na tembo Mbugani
 
Ki uhalisia kwa watu ambao tumeishi katika mataifa mbalimbali Zanzibar ni maarufu na inajulikana kuliko jina la Tanzania au Tanganyika

Ukiwa na rafiki wa kutoka je ya nchi mkakutana kwenye ndege au uwanja wa ndege uki jitambulisha kwamba unatoka Africa mashariki, tegemea responce yake kama hi: "last year I visted the island of zazibar", ua atakuuliza "have you ever been in at the Island of Zanzibar"?

Zenji ni kama utambulisho wa Africa mashariki, na ni vigumu Mzungu/raia wa nje kukuuliza eti have you ever visited Dodoma au Shinyanga kwa nini?

Ni kama unavoona Britain inasikika kuliko Wales, Ireland na Scotland wakati wote wako ndani ya muungano wa United kingdom (UK) ndo maana mpaka leo Northern Ireland inataka kujitenga inaona kuna unfair game kwake kutoka Britain

Kwanini Zanzibar ifunike Tanzania wakati kila kitu inaizidi Zanzibar hiyo ni fair kweli? au Watanganyika wametanguliza siasa kila jambo ndo maana hata hawauziki nje ya Nchi.
Mkuu Zanzibar ni maarufu tu huko Oman, kwani wa Oman wengi ndio wenye Zanzibar, unaposema inajulikana Ulaya sijui Ulaya gani labda ukisema sasa Ulaya ndio wanajua kuwa kumbe mama mkuu wa kaya anatoka Zanzibar na si vinginevyo sana sana wanajua historia ya utumwa Zanzibar.
 
Soma Tarekhe ya ZANZIBAR Utajua maana yake. Ndio maana tunataka kujetanga na nyinyi Watanganyika munatupotezea malengo yetu , unaonekana mtoto mdogo sana wewe sisi ndio tumewafundisha nyinyi Watanganyika Ustarabu kama una babu yako hebu muulize Zanzibar ilikuwa vipi kabla 1964 na Tanganyika ilikuwa vipi. Wazanzibari tuna kila sababu ya kuukataa Muungano .

Umekwenda mbali sana hii ya juzi tu ya Nobel nina hakika Watanganyika inawauma na kuwakera sana sana lakini hamna la kufanya ( Alopewa kapewa tu naapa hapokonyeki)
Hata sisi hatuwataki kwanza ni wabaguzi sana
 
Wapemba na waunguja wamezagaa dunia nzima,hawa wajamaa watafutaji sana nenda Canada,uingereza,dubai,Qutar,Oman,china,USA wapo.

Watanga na nyika nyie ni wavivu endeleeni kuchanga mang'ombe na kulima.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom