Kwanini Zanzibar Hawatangazi tena idadi ya walioambukizwa korona

Northern empire

JF-Expert Member
Nov 14, 2019
358
459
Habari Za jumapili na heri ya sikukuu za eid. Niende moja kwa moja kwenye mada .

Takriban wiki mbili au tatu zimepita bila ya kupata taarifa ya idadi ya watu walioambukizwa korona katika visiwa vya Zanzibar . Sijui nini kimetokea ila Tanzania bara walipositisha kutoa taarifa wao walikuwa bado wanaebdelea na kutoa idad ya waathirika na hata kifikia hatua ya kununua vipimo vyao ambavyo watakuwa wanatumia kupimaa.ila ghafla hatusikii tena.

Sasa ni kipi kimetokea ?au na wao nashine zao zimepata hitilafuu? Naomba wajuzi watupe hasahasa tatizo ni lipii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tanzania ni nchi moja baada ya kuungana zanzibar na tanganyika.nilishangaa zanzibar walikuwa wanatoa taarifa peke yao kwa malengo yapi!!!!
 
Habari Za jumapili na heri ya sikukuu za eid. Niende moja kwa moja kwenye mada .

Takriban wiki mbili au tatu zimepita bila ya kupata taarifa ya idadi ya watu walioambukizwa korona katika visiwa vya Zanzibar . Sijui nini kimetokea ila Tanzania bara walipositisha kutoa taarifa wao walikuwa bado wanaebdelea na kutoa idad ya waathirika na hata kifikia hatua ya kununua vipimo vyao ambavyo watakuwa wanatumia kupimaa.ila ghafla hatusikii tena.

Sasa ni kipi kimetokea ?au na wao nashine zao zimepata hitilafuu? Naomba wajuzi watupe hasahasa tatizo ni lipii.

Sent using Jamii Forums mobile app

Baba amesema hakuna corona, unataka mtoto asemeje? Jikinge na chukua tahadhari mwenyewe.
 
Muungano una mipaka yake,Wizara ya Afya ya Zanzibar sio ya muungano..

Juzi,siku mbili zilizopita waziri wa Afya Zanzibar,ametangaza kuwa Zanzibar imeagiza mashine yenye uwezo wa kupima watu Mia kwa siku..

Zanzibar imeamua kununua mashine hizo baada ya kuona kuwa ndugu zao wa Tanganyika Kama kawaida Yao wameanza kuleta hujma katika Afya za Watanzania..

God bless Tanzania
 
Back
Top Bottom