young solicitor
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 1,123
- 710
Sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai sura ya 20 toleo la 2019
Yenye vifungu vinavyonyima dhamana pamoja na
Sheria ya uhujumu uchumi
Sura ya 200 toleo la 2019
Zote hizo sio za muungano hivyo basi hazitumiki Zanzibar.
Zanzibar walishatoka huko kwenye ujima na kukomoana.
Our criminal justice on the side of Tanzania mainland need reforms.
Kuna li jitu lipo kisheri linaitwa DPP lina mmlaka makubwa mno yanayohitaji kudhibitiwa kisheria.
Lazima kuwe na ukomo wa upelelezi
Yenye vifungu vinavyonyima dhamana pamoja na
Sheria ya uhujumu uchumi
Sura ya 200 toleo la 2019
Zote hizo sio za muungano hivyo basi hazitumiki Zanzibar.
Zanzibar walishatoka huko kwenye ujima na kukomoana.
Our criminal justice on the side of Tanzania mainland need reforms.
Kuna li jitu lipo kisheri linaitwa DPP lina mmlaka makubwa mno yanayohitaji kudhibitiwa kisheria.
Lazima kuwe na ukomo wa upelelezi