The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,063
- 115,462
Naona Wazanzibari wanalilia vitu vya ovyo ovyo ambavyo haviwezi kuwasaidia kama uanachama FIFA n.k
But sisikii Wazanzibari wakisema wanataka wawe na stock exchange ya kwao Zanzibar, why?
Stock exchange itawapatia mitaji wafanyabiashara na serikali itauza bonds na itawasaidia kupunguza umasikini sana.
Hata mitaji kutoka nje inaweza kuja kupitia stock exchange.
Wazanzibari hili la stock exchange ni rahisi zaidi since sio dhambi kuwepo na stock exchange zaidi ya moja.
Hata wakisema mambo ya fedha yako Muungano. Still hakuna ubaya Zanzibar ikiwa na soko lake la mitaji na hisa.
But sisikii Wazanzibari wakisema wanataka wawe na stock exchange ya kwao Zanzibar, why?
Stock exchange itawapatia mitaji wafanyabiashara na serikali itauza bonds na itawasaidia kupunguza umasikini sana.
Hata mitaji kutoka nje inaweza kuja kupitia stock exchange.
Wazanzibari hili la stock exchange ni rahisi zaidi since sio dhambi kuwepo na stock exchange zaidi ya moja.
Hata wakisema mambo ya fedha yako Muungano. Still hakuna ubaya Zanzibar ikiwa na soko lake la mitaji na hisa.