Kwanini zamani Dagaa wakipikwa wanaondolewa vichwa ila Siku hizi hapana.

bryan2

JF-Expert Member
Jun 8, 2016
3,323
4,667
Mambo yanabadilika sana kwanini zamani kabla ya kupika dagaa walikua wanakatwa vichwa ila siku hizi hawaondolewi vile vichwa na bado wanakua watamu tu

Nini lengo la kuondoa vile vichwa?
 
Bajet... Ela yenyewe ya mboga mwanaume anaacha buku, alafu anategemea akute maini? Lazima alishwe vichwa vya dagaa ili ajue kuwa anabidi kupanda dau...
 
Dagaa wakavu wa mwanza walikuwa wakiondolewa vichwa pamoja na kuwaosha kwa maji ya uvuguvugu ili kuondoa mchanga (walikuwa wanaanikwa mchangani baada ya kuvuliwa) ila kwa waliokuwa wanavuliwa sehemu nyinginezo huwa hawaondolewi vichwa kwa kuwa huwa hawana mchanga....

Hebu kuwa wazi kwa swali unaloliuliza maana mtu kama mimi siwezi kuelewa swali lako kwa uzuri
 
Back
Top Bottom