sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,325
- 2,486
Habari za wikiend wanabodi, ningependa tushare pamoja hii mada kwa kuangalia uhalisia tulipo na tulikotoka.
Tulikotoka licha idadi ya wanaume kuwa wengi kuliko wanawake, mme mmoja alikuwa anaoa hata wake watatu na wote walikuwa wanapendana na kuishi kwa umoja na ushirikiano.
Tofauti na sasa, wanawake wengi hawapendi uke wenza licha ya idadi yao kuwa kubwa kuliko wanaume. Nini tatizo?
Nawasilisha tupate michango hasa kwa kina mama. Mojawapo ya sababu kubwa inaweza ikawa ni magonjwa, lakini hata tulikotoka magonjwa yalikuwepo tena hali ilikuwa mbaya zaidi kuliko sasa. Karibu.
Tulikotoka licha idadi ya wanaume kuwa wengi kuliko wanawake, mme mmoja alikuwa anaoa hata wake watatu na wote walikuwa wanapendana na kuishi kwa umoja na ushirikiano.
Tofauti na sasa, wanawake wengi hawapendi uke wenza licha ya idadi yao kuwa kubwa kuliko wanaume. Nini tatizo?
Nawasilisha tupate michango hasa kwa kina mama. Mojawapo ya sababu kubwa inaweza ikawa ni magonjwa, lakini hata tulikotoka magonjwa yalikuwepo tena hali ilikuwa mbaya zaidi kuliko sasa. Karibu.