Kwanini yasemwayo mitandaoni na wachache ndio iwe msimamo wa watanzania wote?

mwananyaso

JF-Expert Member
Feb 19, 2017
2,829
3,118
Nafuatilia mitandao ya kijamii wasemaji ni walewale wa kila siku,ukienda twitter wanajulikana,ukija hapa jukwaani wanajulikana kwa user zao ,japo nafahamu wakileta uzi wa ku-attack mtu hutumia user zao zingine kuonyesha wako wengi,wakati si kweli,nimefanya uchunguzi na, nisemacho nina uhakika nacho ,unakuta mtu ana user kumi.

Na wengi ni wa hapa ndani ya jiji la daresalaam na baadhi wachache wa mikoani.
Kwanini waongeapo madukuduku yao ndio uwe msimamo wa watanzania millioni 55?

,inashangaza kikundi cha mitandaoni wakiwa na interest zao binafsi wanataka kufanya ni za watanzania wote nchini,nani kawapa mamlaka hayo?,
Nimezunguka mikoa mitatu kwa haraharaka raia wengi hawajui hata kama ndege yetu imekamatwa,wanashangaa tu,

Ni kweli mitandao ya kijamii ina nguvu, lakini wachache wanaoitumia ambao wanajulikana baadhi wakijiita wanaharakati (uchwara)ndio uwe msimamo wa watanzania wote?

Ninachofahamu kwa utafiti ,Watanzania wengi wako busy na shughuli za uzalishaji mali na biashara
 
Nafuatilia mitandao ya kijamii wasemaji ni walewale wa kila siku,ukienda twitter wanajulikana,ukija hapa jukwaani wanajulikana kwa user zao ,japo nafahamu wakileta uzi wa ku-attack mtu hutumia user zao zingine kuonyesha wako wengi,wakati si kweli,nimefanya uchunguzi na, nisemacho nina uhakika nacho ,unakuta mtu ana user kumi.

Na wengi ni wa hapa ndani ya jiji la daresalaam na baadhi wachache wa mikoani.
Kwanini waongeapo madukuduku yao ndio uwe msimamo wa watanzania millioni 55?

,inashangaza kikundi cha mitandaoni wakiwa na interest zao binafsi wanataka kufanya ni za watanzania wote nchini,nani kawapa mamlaka hayo?,
Nimezunguka mikoa mitatu kwa haraharaka raia wengi hawajui hata kama ndege yetu imekamatwa,wanashangaa tu,

Ni kweli mitandao ya kijamii ina nguvu, lakini wachache wanaoitumia ambao wanajulikana baadhi wakijiita wanaharakati (uchwara)ndio uwe msimamo wa watanzania wote?

Ninachofahamu kwa utafiti ,Watanzania wengi wako busy na shughuli za uzalishaji mali na biashara
Sasa kwani watu kutokujua ndio nn si wameamua wao kwani lazima kila mtu ajieleze ndege imekamatwa kuna wengine hatuna uo muda maana serikali haigawi pipi wala hela so atazingekamatwa zote sio muhimu kwa yule ambae hana uo muda...na kwa wanaojua au kufwatilia nao ni haki yao huwez mfanya mtu afanye ulitakalo si kwa wanaopinga atawanaosifia nao hauwez kuwa msimamo wa watanzania
 
Unatambuaje mtu mwenye multiple I'd? Sio kazi nzito sana kufanya huo uchunguzi? Kweli hii mitandao ni ya kuzima hata miezi sita tu.
Upo sahihi, vijijini na nje ya miji hawana habari sana na haya ya mitandaoni.
 
Nafuatilia mitandao ya kijamii wasemaji ni walewale wa kila siku,ukienda twitter wanajulikana,ukija hapa jukwaani wanajulikana kwa user zao ,japo nafahamu wakileta uzi wa ku-attack mtu hutumia user zao zingine kuonyesha wako wengi,wakati si kweli,nimefanya uchunguzi na, nisemacho nina uhakika nacho ,unakuta mtu ana user kumi.

Na wengi ni wa hapa ndani ya jiji la daresalaam na baadhi wachache wa mikoani.
Kwanini waongeapo madukuduku yao ndio uwe msimamo wa watanzania millioni 55?

,inashangaza kikundi cha mitandaoni wakiwa na interest zao binafsi wanataka kufanya ni za watanzania wote nchini,nani kawapa mamlaka hayo?,
Nimezunguka mikoa mitatu kwa haraharaka raia wengi hawajui hata kama ndege yetu imekamatwa,wanashangaa tu,

Ni kweli mitandao ya kijamii ina nguvu, lakini wachache wanaoitumia ambao wanajulikana baadhi wakijiita wanaharakati (uchwara)ndio uwe msimamo wa watanzania wote?

Ninachofahamu kwa utafiti ,Watanzania wengi wako busy na shughuli za uzalishaji mali na biashara
Umewahi kujiuliza hicho kinachoitwa "kauli na msimamo" wa serikali huungwa mkono na wananchi wengi?
 
Wanajidanganya sana
Nafuatilia mitandao ya kijamii wasemaji ni walewale wa kila siku,ukienda twitter wanajulikana,ukija hapa jukwaani wanajulikana kwa user zao ,japo nafahamu wakileta uzi wa ku-attack mtu hutumia user zao zingine kuonyesha wako wengi,wakati si kweli,nimefanya uchunguzi na, nisemacho nina uhakika nacho ,unakuta mtu ana user kumi.

Na wengi ni wa hapa ndani ya jiji la daresalaam na baadhi wachache wa mikoani.
Kwanini waongeapo madukuduku yao ndio uwe msimamo wa watanzania millioni 55?

,inashangaza kikundi cha mitandaoni wakiwa na interest zao binafsi wanataka kufanya ni za watanzania wote nchini,nani kawapa mamlaka hayo?,
Nimezunguka mikoa mitatu kwa haraharaka raia wengi hawajui hata kama ndege yetu imekamatwa,wanashangaa tu,

Ni kweli mitandao ya kijamii ina nguvu, lakini wachache wanaoitumia ambao wanajulikana baadhi wakijiita wanaharakati (uchwara)ndio uwe msimamo wa watanzania wote?

Ninachofahamu kwa utafiti ,Watanzania wengi wako busy na shughuli za uzalishaji mali na biashara
 
Kwa maana hiyohiyo kikundi chochote cha watu kisiwalazimishe watanzania wote wawe na msimamo mmoja wa kukemea kitendo cha mahakama ya SA kutoa amri ya kuzuiliwa kwa ndege yetu.
 
Wanazalisha mali zipi? Na biashara wanamuuzia nani? Kwahiyo wewe ndio umepewa jukumu la kuwasemea?
 
Back
Top Bottom