jiwe gizani
JF-Expert Member
- May 25, 2021
- 380
- 506
Salaam wakuu,
Mayai ni rahisi mno kupasuka lakini ni kwanini ukiliminya kwa mtindo huu halipasuki?
Mayai ni rahisi mno kupasuka lakini ni kwanini ukiliminya kwa mtindo huu halipasuki?
Mh!!Sio hivyo tuu hata ukiweka hivyo lingine likae juu na jingine likae chini (ncha zikutane)hilo la katikati linazunguka kama motor ya high speed H.P 30 3phase.