Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Kama vyuo vikuu vinaweza kutengua Academic Awards Kama PhD, kwanini Serikali kupitia Wizara ya sanaa na kamati ya Miss Tanzania wasitengue ushindi wa Wema Sepetu 2006?
Kuendelea kumtambua Wema kama mshindi wa taji hilo mwaka 2006 itaendelea kuchafua taswira ya mashindano hayo ya kimataifa na baadhi ya watu kuamini ya kuwa tasnia ya ulimbwende ni ya wadada wenye tabia chafu na wasiojiheshimu kama Wema.
Huu ni ushauri wangu tu na nipo tayari kukosolewa. I STAND TO BE CORRECTED.
Nipo ninaandaa proposal kamili ya kurasa 3 ya kupeleka kwa Wizara ya sanaa na BASATA. I'll be very serious with this.