Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,351
Hili nimeliona Mara kwa Mara katika mazingira tofauti na nyakati tofauti, hata nilivyoenda ulaya nilijionea kwa macho yangu na nikafikia hitimisho pasipo na shaka kwamba hawa watu ni wapweke sana.
Hawa watu hufikia kipindi cha kuwa na upweke kiasi kwamba hawana namna zaidi ya kupata kampani ya mfugo kama mbwa au paka majumbani mwao....hii hupelekea hadi kuwa na ratiba za kutembea na mbwa wao kila siku "dog walk"
Kuna documentary niliwahi kuicheki hata hawa wazungu magenius walikiri wazi kabisa maisha yao yalikuwa ya upweke wa hali ya juu sana....waliocheki movie ya "gifted" wamenipata hapa
Kuna kazi zao zinazowalazimu wawe wapweke, kazi hizi zinahusisha sana sana computer, kazi kama "coding" na "hacking" mtu akipenda hizi kazi kila muda atakuwa na PC, ni kazi ambazo hata kwa huko ulaya zinaaminika kufanya mtu awe anti social maana kila muda anakuwa na PC na yeye anachojua ni computer tu maana anashinda nayo kila mda anavyoamka hadi anavyolala,hawa wengi huangukia kundi la "geeks" au "nerds" kundi lenye asilimia kubwa ya watu wasio na skills za Jamii...... Na hii umeanza hata Tanzania kuna jamaa mmoja yupo kama hawa huyu jamaa hatakagi hata wageni kwasababu ya hizi kazi kitu kilichopelekea kuwa mpweke
Ni wapweke wa nafsi na roho kiasi cha kuwa na huduma za kiholela kama kulipia huduma ya mpambe kwenye harusi(hapa mtu ina maana hana watu wa karibu walio tayari kuwa wapambe)
Si ajabu kwenye msiba wa mzungu kukuta wanapenda msibani kwake kuwepo mtu mmoja tu anaemjua huku wengine wakiwa ni team ya kuhudumia maombolezo na wachungaji.
Hata kwenye movies nyingi tu tunaonaga wazungu inafikia kipindi unaona mzungu hana mtu wa karibu.
Hata hawa wanaokujaga Serengeti kutalii ni kawaida sana kukuta mzungu kaja peke yake kutalii na mda mwingi unakuwa anasoma kitabu huku sisi tunapiga stories
Wanaijeria wanatumia mwanya huu wa upweke kuwatapeli wazungu, wanajenga kaurafiki ka kinafki huko kwenye social netwaorks then watapiga saundi za kitoto mzungu hivihivi anampa mnaijeria pesa nyingi na kutapeliwa....wazungu wengi ni wapweke jamani
Nilivyoenda huko ulaya kuna simu ya mzungu flani nilifanikiwa ukicheki vitu vichache na kilo chini swanga za jamaa ana chat na mtu mmoja tu kwenye WhatsApp yake na hata kwenye mesej...nilistuka
Wao nachoweza kusema wazungu walibarikiwa akili sana kutuzidi hata waafrika ila linapokuja jambo la kujichanganya na watu ni sifuri kwakweli
Hawa watu hufikia kipindi cha kuwa na upweke kiasi kwamba hawana namna zaidi ya kupata kampani ya mfugo kama mbwa au paka majumbani mwao....hii hupelekea hadi kuwa na ratiba za kutembea na mbwa wao kila siku "dog walk"
Kuna documentary niliwahi kuicheki hata hawa wazungu magenius walikiri wazi kabisa maisha yao yalikuwa ya upweke wa hali ya juu sana....waliocheki movie ya "gifted" wamenipata hapa
Kuna kazi zao zinazowalazimu wawe wapweke, kazi hizi zinahusisha sana sana computer, kazi kama "coding" na "hacking" mtu akipenda hizi kazi kila muda atakuwa na PC, ni kazi ambazo hata kwa huko ulaya zinaaminika kufanya mtu awe anti social maana kila muda anakuwa na PC na yeye anachojua ni computer tu maana anashinda nayo kila mda anavyoamka hadi anavyolala,hawa wengi huangukia kundi la "geeks" au "nerds" kundi lenye asilimia kubwa ya watu wasio na skills za Jamii...... Na hii umeanza hata Tanzania kuna jamaa mmoja yupo kama hawa huyu jamaa hatakagi hata wageni kwasababu ya hizi kazi kitu kilichopelekea kuwa mpweke
Ni wapweke wa nafsi na roho kiasi cha kuwa na huduma za kiholela kama kulipia huduma ya mpambe kwenye harusi(hapa mtu ina maana hana watu wa karibu walio tayari kuwa wapambe)
Si ajabu kwenye msiba wa mzungu kukuta wanapenda msibani kwake kuwepo mtu mmoja tu anaemjua huku wengine wakiwa ni team ya kuhudumia maombolezo na wachungaji.
Hata kwenye movies nyingi tu tunaonaga wazungu inafikia kipindi unaona mzungu hana mtu wa karibu.
Hata hawa wanaokujaga Serengeti kutalii ni kawaida sana kukuta mzungu kaja peke yake kutalii na mda mwingi unakuwa anasoma kitabu huku sisi tunapiga stories
Wanaijeria wanatumia mwanya huu wa upweke kuwatapeli wazungu, wanajenga kaurafiki ka kinafki huko kwenye social netwaorks then watapiga saundi za kitoto mzungu hivihivi anampa mnaijeria pesa nyingi na kutapeliwa....wazungu wengi ni wapweke jamani
Nilivyoenda huko ulaya kuna simu ya mzungu flani nilifanikiwa ukicheki vitu vichache na kilo chini swanga za jamaa ana chat na mtu mmoja tu kwenye WhatsApp yake na hata kwenye mesej...nilistuka
Wao nachoweza kusema wazungu walibarikiwa akili sana kutuzidi hata waafrika ila linapokuja jambo la kujichanganya na watu ni sifuri kwakweli