Given Edward
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 850
- 202
Habari zenu wakuu,
Kwa muda mrefu tu na imekuwa kama kawaida kuwaalika "wadau wa kimaendeleo" au "marafiki wa kimaendeleo" kuja nchini Tanzania kila kipindi cha uchaguzi na kupewa majina kama "International Observers". Kwanini hawa watu wanakuja kutusimamia? Je, wao hutuita kwenya kufanya "international observing" kwenye nchi zao pindi wanafanya uchaguzi? Kama huwa tunaenda je sisi huwa tuna sauti kama wao walivyo na sauti kwetu? As far as our history is concerned, I believe this is a form Inferiority complex on what we do OR we just put them way higher than they should. Tunawatukuza sana ndio maana wanatuletea masharti ya ajabu ajabu. Perhaps I'm wrong but sidhani it is really of necessity for them to be supervising us. I thought we gained independence.
Kwa muda mrefu tu na imekuwa kama kawaida kuwaalika "wadau wa kimaendeleo" au "marafiki wa kimaendeleo" kuja nchini Tanzania kila kipindi cha uchaguzi na kupewa majina kama "International Observers". Kwanini hawa watu wanakuja kutusimamia? Je, wao hutuita kwenya kufanya "international observing" kwenye nchi zao pindi wanafanya uchaguzi? Kama huwa tunaenda je sisi huwa tuna sauti kama wao walivyo na sauti kwetu? As far as our history is concerned, I believe this is a form Inferiority complex on what we do OR we just put them way higher than they should. Tunawatukuza sana ndio maana wanatuletea masharti ya ajabu ajabu. Perhaps I'm wrong but sidhani it is really of necessity for them to be supervising us. I thought we gained independence.