Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,785
Siku niliyofika Shinyanga kwa mara ya kwanza jambo lililonistaajabisha labda kuliko yote ni uwingi wa Baiskeli, sijawahi kuona ktk maisha yangu sehemu yenye Baiskeli nyingi kama Shinyanga, lkn nilioona tu kushangaaa na kuendelea na safari kama tufanyavywo Watz wengine lkn Mzungu alipoona uwingi wa Baiskeli Shinyanga akaona aanzishe kinachoweza kutumia uwingi wa Baiskeli zilizopo kwa faidia ya wote, Acasia (Kampuni ya kuchimba dhahabu) wameanzisha mashindanao ya Baiskeli huko Shinyanga!
Je, kuna cha kujifunza hapo kutoka kwa Wazungu? Kwa maana hizo Baiskeli zipo siku zote na hataujawahi kulifikiria hilo!
* Kama kuna anayejua kwamba hilo wazo ni la Mtanzania mweusi kama mimi niko tayari kusahihishwa!
Je, kuna cha kujifunza hapo kutoka kwa Wazungu? Kwa maana hizo Baiskeli zipo siku zote na hataujawahi kulifikiria hilo!
* Kama kuna anayejua kwamba hilo wazo ni la Mtanzania mweusi kama mimi niko tayari kusahihishwa!
Picha zote kwa hisani ya blogu ya Michuzi!