Kwanini wazungu huwa hawali sana kama sisi Waafrika?

kyagata

JF-Expert Member
Oct 18, 2016
6,458
12,555
Wakuu

Kuna wazungu flan nilikua nao kwenye kuwasaidia project yao flani,so tukawa tuna ukaribu ambao mara nyingi tulijikuta muda wa lunch tunakua pamoja.

Wazungu pamoja na kuwa na mamiili makubwa but sio walaji wa chakula kingi kama sisi waafrika. Utakuta muda wa lunch mzungu anakula sandwich moja tu na juisi nusu glass anashiba. Back to sisi waafrika sasa.

Kwanza kuna mwingine bila kula ugali anaona hajala kabisa na muda huo huo afya zetu ndio hizi mgogoro.

Je, kuna siri gani kwa wazungu kula msosi kidogo?
 
Mind set...

Raised that way...

Discipline....

Ustaarabu....

Binadamu aliyefikia hatua ya kufanya kila kitu kwa kiasi ikiwemo chakula pia, ..... nashindwa kuelezea ila ni hatua flani ambayo wengine hawaiwezi.

Na inapendeza ikiwa self discipline.
 
Wakuu

Kuna wazungu flan nilikua nao kwenye kuwasaidia project yao flani,so tukawa tuna ukaribu ambao mara nyingi tulijikuta muda wa lunch tunakua pamoja.

Wazungu pamoja na kuwa na mamiili makubwa but sio walaji wa chakula kingi kama sisi waafrika. Utakuta muda wa lunch mzungu anakula sandwich moja tu na juisi nusu glass anashiba. Back to sisi waafrika sasa.

kwanza kuna mwingine bila kula ugali anaona hajala kabisa na muda huo huo afya zetu ndio hizi mgogoro.

Je kuna siri gani kwa wazungu kula msosi kidogo?
5 meal day.
Before breakfast
Breakfast
Before lunch
Lunch (bread&fruit) included
After lunch(smooth youghort)
Dinner sa moja si zaidi.
Huyo mtu unafkiri atakua na njaa ya kula ugali na kitimoto
 
Wakuu

Kuna wazungu flan nilikua nao kwenye kuwasaidia project yao flani,so tukawa tuna ukaribu ambao mara nyingi tulijikuta muda wa lunch tunakua pamoja.

Wazungu pamoja na kuwa na mamiili makubwa but sio walaji wa chakula kingi kama sisi waafrika. Utakuta muda wa lunch mzungu anakula sandwich moja tu na juisi nusu glass anashiba. Back to sisi waafrika sasa.

kwanza kuna mwingine bila kula ugali anaona hajala kabisa na muda huo huo afya zetu ndio hizi mgogoro.

Je kuna siri gani kwa wazungu kula msosi kidogo?

Wanakula kwa afya na sio kujaza tumbo, anakula chakula anajua hapa mwili umepata vitamin fulan na inasaidia nini, sasa wewe asubuhi supu, chapati mbili na soda pepsi, mchana unakanyaga ugali, nyama, maharage, na soda fanta, usiku unakula wali na nyama hapo unajionea maajabu yaani kuanzia wewe uwezo wa kufikiri utakua chini. Na hadi watoto utaowazaa level of thinking itakua chini na hutoweza kuyatawala mazingira wala kubuni lolote jema maana automatically una udumavu wa akili toka ukiwa mdogo,
 
Kwanza tabia ya kusema lazima ule mara tatu kwa siku sio ustaarabu hiyo ni addiction tu ya kijinga, na ndio maana kutokana na tunavokula siku hizi unajionea maajabu tu watu ni kama wamechanganyikiwa, kwa mfano kuna ulazima gani kunywa spirits kila siku au bia kila siku? Na kutokana na kutokua na uwezo wa kumanage hayo madogo ndio maana hata Saving kwa blacks ni mtihani dunia nzima inabaki mzungu akifanya saving akija kutalii tunamuona tajiri kumbe aliweza kumanage na kusave
 
Wanakula kwa afya na sio kujaza tumbo, anakula chakula anajua hapa mwili umepata vitamin fulan na inasaidia nini, sasa wewe asubuhi supu, chapati mbili na soda pepsi, mchana unakanyaga ugali, nyama, maharage, na soda fanta, usiku unakula wali na nyama hapo unajionea maajabu yaani kuanzia wewe uwezo wa kufikiri utakua chini. Na hadi watoto utaowazaa level of thinking itakua chini na hutoweza kuyatawala mazingira wala kubuni lolote jema maana automatically una udumavu wa akili toka ukiwa mdogo,
Lazima uwe kama chakubanga
 
Wazungu wako 2 hao uliokutana nao ndio uje kututolea mfano hapa?

40% ya wamarekani ni overweight na obese kutokana na kula hovyo na ulaji usiopangiliwa na inakadiriwa kufikia 2030 60% ya wamarekani watakua overweight kutokana na kula hovyo wewe unasema wazungu hawali sana? Kwa hiyo overweight wameitoa mbinguni?

Ukiangalia mataifa na watu walionenepeana hovyo Duniani utakuja kutuweka sisi waafrika na kula yetu ya hovyo unayoisema?

Shuleni mnasoma nini siku hizi? Yaani sample size ya watu 2 tayari ushafanya conclusion? Aisee.
 
Wakuu

Kuna wazungu flan nilikua nao kwenye kuwasaidia project yao flani,so tukawa tuna ukaribu ambao mara nyingi tulijikuta muda wa lunch tunakua pamoja.

Wazungu pamoja na kuwa na mamiili makubwa but sio walaji wa chakula kingi kama sisi waafrika. Utakuta muda wa lunch mzungu anakula sandwich moja tu na juisi nusu glass anashiba. Back to sisi waafrika sasa.

kwanza kuna mwingine bila kula ugali anaona hajala kabisa na muda huo huo afya zetu ndio hizi mgogoro.

Je kuna siri gani kwa wazungu kula msosi kidogo?
Hujui usemacho na wala huwajui wazungu. Kwanza, unamaanisha wazungu wapi iwapo walio wengi kwa sasa wanasumbuliwa na obesity? Ungekuwa umewahi kuishi Ulaya au Marekani ukaona unene unavyoua wazungu wala usingeleta hoja hii ambayo inaonyesha kutokuelewa kwako. Kama unatumia hawa unaowaona Afrika kwenye ubalozi, basi elewa, wanaandaliwa ili ku-project positive image ya wazungu. Wazungu kimaumbile wana maumbile ya hovyo kuliko waafrika hata wote wakinenepa.
 
Wazungu wako 2 hao uliokutana nao ndio uje kututolea mfano hapa?

40% ya wamarekani ni overweight na obese kutokana na kula hovyo na ulaji usiopangiliwa na inakadiriwa kufikia 2030 60% ya wamarekani watakua overweight kutokana na kula hovyo wewe unasema wazungu hawali sana? Kwa hiyo overweight wameitoa mbinguni?

Ukiangalia mataifa na watu walionenepeana hovyo Duniani utakuja kutuweka sisi waafrika na kula yetu ya hovyo unayoisema?

Shuleni mnasoma nini siku hizi? Yaani sample size ya watu 2 tayari ushafanya conclusion? Aisee.
😍😍😍😍😍😍😍😍😍
 
Kuna vitu vinasababisha mwili wa mtu mmoja ku consume energy nying zaid ya mwingn mfano muscular composition, weather na mengine. Lakn pia mtu mwingn anakula mlo mmoja kwa siku mwingne milo 4 adi 5 sasa ukikaa na hawa utaona ulaji tofauti
 
Mim pia npo na wazungu sehm moja asee cwafich hawa watu wana njaa adi aibu yan mlango wa mesi unafunguliw saa 12:00 mchana wao saa 11:45 wamejazana nje wanasubr kitu ambacho kwenye mesi ya wabongo hakipo nawashaur wakuu tuish maisha yetu ni mazuri tu na tunakula kawaida tu
 
Wazungu wanakula kiafya na kufuata taratbu za ulaji tofauti na waafarica
Utakuta mtu ana umri wa miaka 50,60,70 anakula milo 3 kwa siku sawasawa na Mtu wa umri wa miak 10,20
Mmeng’enyo wa chakula unapungua umri unapozidi kwenda na mwili wako lazima kuendana na mabadiliko ya chakula.
Kuna umri wa kula milo 3,2 na 1 kwa Siku ukiendana na kula matunda
 
Wanakula kwa afya na sio kujaza tumbo, anakula chakula anajua hapa mwili umepata vitamin fulan na inasaidia nini, sasa wewe asubuhi supu, chapati mbili na soda pepsi, mchana unakanyaga ugali, nyama, maharage, na soda fanta, usiku unakula wali na nyama hapo unajionea maajabu yaani kuanzia wewe uwezo wa kufikiri utakua chini. Na hadi watoto utaowazaa level of thinking itakua chini na hutoweza kuyatawala mazingira wala kubuni lolote jema maana automatically una udumavu wa akili toka ukiwa mdogo,
Hii commment nimecheka sana Dah bongo noma, hapo bado mtu hajapiga k-vanga
 
Wazungu wako 2 hao uliokutana nao ndio uje kututolea mfano hapa?

40% ya wamarekani ni overweight na obese kutokana na kula hovyo na ulaji usiopangiliwa na inakadiriwa kufikia 2030 60% ya wamarekani watakua overweight kutokana na kula hovyo wewe unasema wazungu hawali sana? Kwa hiyo overweight wameitoa mbinguni?

Ukiangalia mataifa na watu walionenepeana hovyo Duniani utakuja kutuweka sisi waafrika na kula yetu ya hovyo unayoisema?

Shuleni mnasoma nini siku hizi? Yaani sample size ya watu 2 tayari ushafanya conclusion? Aisee.
Boss hoja yako nzuri lakini Kifupi tu ndugu, wamarekani sio wazungu. Wazungu wannatoka ulaya pekee
 
Wakuu

Kuna wazungu flan nilikua nao kwenye kuwasaidia project yao flani,so tukawa tuna ukaribu ambao mara nyingi tulijikuta muda wa lunch tunakua pamoja.

Wazungu pamoja na kuwa na mamiili makubwa but sio walaji wa chakula kingi kama sisi waafrika. Utakuta muda wa lunch mzungu anakula sandwich moja tu na juisi nusu glass anashiba. Back to sisi waafrika sasa.

kwanza kuna mwingine bila kula ugali anaona hajala kabisa na muda huo huo afya zetu ndio hizi mgogoro.

Je kuna siri gani kwa wazungu kula msosi kidogo?
Wana uhakika wa mlo unaofuata!
 
Back
Top Bottom