Emmadogo
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 4,126
- 3,751
Malecela alibadili dini baada ya kuahidiwa wa Iran kuwa watamsaidia kuwa Rais wa Tz yeye pamoja na Kigoma malima
Baada ya nyerere kujua mipango yao malima akakimbilia UK.
So John akabaki asijielewe yeye ni mkristo au muislam coz aliingia huko kwa ajili ya urais akaitwa Jumanne. But anaona aibu kujitangaza hadharani coz aliingia kimagumashi.
Kama ambavyo nasikia na M.E.M.B.E nae etii kabadili kimya kimya for the same reason but wote imekula kwao
Baada ya nyerere kujua mipango yao malima akakimbilia UK.
So John akabaki asijielewe yeye ni mkristo au muislam coz aliingia huko kwa ajili ya urais akaitwa Jumanne. But anaona aibu kujitangaza hadharani coz aliingia kimagumashi.
Kama ambavyo nasikia na M.E.M.B.E nae etii kabadili kimya kimya for the same reason but wote imekula kwao