Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,680
- 2,000
Katika historia tunaelezwa wakati wa utawala wa Mwalimu Nyerere. John Malecela aliitwa na mwalimu akamwambia anafaa kuwa Rais hivyo ajiandae. Inasemekana baada ya kuambiwa hivyo na mwalimu kwanza John alimweleza mkewe na alipofanya ziara nchini Iran alimweleza Mfalme kuwa anatarajia kuwa Rais wa Tanzania na hapohapo akapewa jina la Jumanne.
Kama mnavojua Iran ni nchi ya kiislam. Inasemekana baada ya kufika Tanzania kutoka ziara mwalimu alimfukuza akaenda kujificha kijijini kwao kongwa. Je, kuna ukweli wowote kuhusu hili?
Naamini hapa JF kuna watu wazima waliokuwepo kipindi hicho tunaomba mtueleze ukweli wa jambo hili. Je ni kweli?
Nawasilisha.
Kama mnavojua Iran ni nchi ya kiislam. Inasemekana baada ya kufika Tanzania kutoka ziara mwalimu alimfukuza akaenda kujificha kijijini kwao kongwa. Je, kuna ukweli wowote kuhusu hili?
Naamini hapa JF kuna watu wazima waliokuwepo kipindi hicho tunaomba mtueleze ukweli wa jambo hili. Je ni kweli?
Nawasilisha.