Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,865
- 2,176
Wakati wa Hafla kuapishwa Makamu wa Rais mh Philip Mpango baada ya kiapo walikaribishwa viongozi wachache meza kuu kusema lolote juu ya kiongozi mpya Makamu wa Rais (pongezi).
Waziri mkuu hajakaribishwa aongee ipoje kiitifaki?
Wajuvi karibuni.
Tunampenda Waziri wetu mkuu.
Waziri mkuu hajakaribishwa aongee ipoje kiitifaki?
Wajuvi karibuni.
Tunampenda Waziri wetu mkuu.