Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,601
- 94,726
Nakuona ukiipiga kazi yako kwa umakini sana.Unazidi kuhamisha magoli sio? Endelea kuonesha ukilaza wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuona ukiipiga kazi yako kwa umakini sana.Unazidi kuhamisha magoli sio? Endelea kuonesha ukilaza wako
Mkuu ni upigaji tu, kama mikataba ya kununua ndege.huyo waziri huwa namuona smart kimtindo, lakini kama anafanya hivyo huenda ikawa kuna shida mahali.
Yale ya IPTL yanajirudiaNaona anawashirikisha kwa kina watu wote muhimu hawezi kufanya peke yake wote naona wapo hapo....tuwape Muda utaongea
Tutapigwa hadi tuombe pooMkuu ni upigaji tu, kama mikataba ya kununua ndege.
Acha yarudi....tunataka vitu shirikishi.....Yale ya IPTL yanajirudia
Tena usiyo na mfano kuwahi kutokea hapa duniani
Mataga Bin Sukuma Gang imekuuma sio,chomoa.Huyo ni mzee wa madili,mama anasema haangalii Kabila anaangalia utendaji kalemani na janwari wapi na wapi.
Yule waziri tamisemi yupo kazini hivyo January yupo kwenye mikono salama.Huyo ni mzee wa madili,mama anasema haangalii Kabila anaangalia utendaji kalemani na janwari wapi na wapi.
Mtahangaika sana lkn macho na akili wanazo.
Wewe itakuwa kuna mwanaCCM alikupa mimba akakutelekeza, maana wewe kila kitu ni CCM, CCM! Bila kuitaja CCM na Lumumba hilo kalio halitulii kabisaHayo ndiyo maneno mliyo zoeshwa nyinyi wana mserereko wa lumumba. View attachment 1984979
Naona hangover ya jana baada ya kubugia mataputapu inakusumbua.Wewe itakuwa kuna mwanaCCM alikupa mimba akakutelekeza, maana wewe kila kitu ni CCM, CCM! Bila kuitaja CCM na Lumumba hilo kalio halitulii kabisa
Asahau 2030 Nchi itakuwa chini ya uongozi wa mkristo tena Mkatoliki ataishia uwaziri unamtoshaWizara hii ni Kama Maliasili na Utalii...Na Nyinginrzo zenye mahela mengi na Muunganiko Mkubwa na Mahitaji ya Dunia Na biashara Kubwa kubwa...Humezewa Mate na kila mtu...Na Hii Wizara Pia ni kama Idara nyingine za Serikali zenye mapesa Mengi...Hizo huwa na Vita Na Majungu yasiyoisha...
KAMA mnavyojua January ana ndoto awe Rais...Na mara zote hajawahi kuacha sema labda kimkakati anamuachia mama Aendelee mpaka 2030 huku na yeye akiwa ndani ya baraza akiendelea Kujipanga by then awe na Nguvu zote tu za watu nje na ndani na pia uchumi imara.
Nadhani anaendelea kujijenga vizuri taratibu akilenga 2030.
Ni wizara yenye kugusa watu na yenye madili mengi makubwa sijui atanusurikaje na mitego ya hii Wizara..Naamini kipindi cha Mwamba isingeyokea kamwe eti waziri kaalikwa na Mwenzie wa Saudia kwenda huko kuongea masuala ya fursa za hapa.
Wanazijua tayari .
Kila kona unalalamika muacheni mzee apumzike, wee nawe unarud kule kule kumsema! Au wengine wakitoa ya moyon ni vile hutak kuyasikia? Bwashee kua muungwanaMtanikumbuka!
Eti kila kukichwa wanataka nchi kwa ulemavu huu!January hajawahi kuwa msafi kama mnavyo sema .