Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 4,953
- 4,326
Katika hotuba yake ndefu ya kumkaribisha raisi kwenye sherehe ya kujaza maji bwawa la Nyerere, waziri wa nishati alilalamika sana mbele ya raisi kwamba amekuwa akitukanwa sana kutokana na changamoto za wizara hiyo. Akaeleza kwamba changamoto hizo anaziweza sana kwani yeye ni mvamifu wa kutatua changamoto za aina yo yote.
Lakini hakueleza kwanini wale mawaziri waliomtangulia kwenye wizara hiyo hawakuandamwa wala kutukanwa kwa kiwango kikubwa kama hiki anachofanyiwa yeye? Kulikuwa na akina Mhongo, Ngereja etc. Kwanini kwake iwe hivyo? Kwani changamoto za wizara hiyo si ni za tangu enzi za Lowassa na Richmond?
Lakini hakueleza kwanini wale mawaziri waliomtangulia kwenye wizara hiyo hawakuandamwa wala kutukanwa kwa kiwango kikubwa kama hiki anachofanyiwa yeye? Kulikuwa na akina Mhongo, Ngereja etc. Kwanini kwake iwe hivyo? Kwani changamoto za wizara hiyo si ni za tangu enzi za Lowassa na Richmond?