Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,172
- 34,277
Mh
Kwa mwanamke ni dhambi
Kwa mwanamke ni dhambi
Leme do the needful
Ukhty fanya ukanunue
na paja je,? maana hata paja ni baba.Zinaongeza nguvu za kiume,sasa mwanamke ule ziongeze nini?
Paja wanakula wazee coz lina minofu,sasa mzee umpe Kipapatio avunje meno?na paja je,? maana hata paja ni baba.
Ukijibiwa niiteKwanini wazee ndiyo walikuwa wanakula firigisi....je ni mila na desturi au ni uonevu tu
View attachment 1185926