Kwanini wazazi wengi humpenda mtoto mmoja zaidi ya wengine?

Beeb

JF-Expert Member
Aug 18, 2018
29,402
58,951
Habari za jioni wapendwa

Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu...najua humu kuna watu wazima ambao tayari mna familia zenu kwa pande zote baba/mama.

Naomba kufahamishwa kuhusu hili suala la mzazi kumpenda sana mtoto mmoja kuliko watoto wengine..najua humu kuna wazazi mko hivyo..naomba kufahamu hili husababishwa na nini? Maana wakati mwingine utakuta mtoto apendwae ndio mkorofi/asiesikia/kinara wa kumpa mzazi presha kwa matendo yake lakini utakuta mzazi ndio kwanza anaona kama kafanya mazuri.

Naomba kujuzwa kwanini iko hivi!!?.

Nawasilisha
 
Habari za jioni wapendwa

Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu...najua humu kuna watu wazima ambao tayari mna familia zenu kwa pande zote baba/mama.

Naomba kufahamishwa kuhusu hili suala la mzazi kumpenda sana mtoto mmoja kuliko watoto wengine..najua humu kuna wazazi mko hivyo..naomba kufahamu hili husababishwa na nini? Maana wakati mwingine utakuta mtoto apendwae ndio mkorofi/asiesikia/kinara wa kumpa mzazi presha kwa matendo yake lakini utakuta mzazi ndio kwanza anaona kama kafanya mazuri.

Naomba kujuzwa kwanini iko hivi!!?.

Nawasilisha
Kwa sisi wanaume ukiona unampenda sana mtoto flani kuliko mwingine ni dalili ya kwamba huyo ndio mtoto wako wa damu ila usiye mpenda sana kuna hati hati huyo mtoto ni wa kuchangia na mwingine.
 
Mmmh sitaki kuamini kuwa mzazi halisi anaweza mchukia mtoto wake wa kumzaa, labda ipo, kwasababu
Hata Yesu kuna mwanafunzi alimpenda sana, Japo haikumanisha kuwa aliwachukia wengine.
 
Kwa sisi wanaume ukiona unampenda sana mtoto flani kuliko mwingine ni dalili ya kwamba huyo ndio mtoto wako wa damu ila usiye mpenda sana kuna hati hati huyo mtoto ni wa kuchangia na mwingine.
Mmhh
 
Mmmh sitaki kuamini kuwa mzazi halisi anaweza mchukia mtoto wake wa kumzaa, labda ipo, kwasababu
Hata Yesu kuna mwanafunzi alimpenda sana, Japo haikumanisha kuwa aliwachukia wengine.
Sijazungumzia mzazi kumchukia mtoto...la hasha! Nimezungumzia mzazi kumpenda mtoto mmoja zaidi ya wengine sio kwamba ni chuki
 
Kwanza lazima ufahamu kuwa mtt wa kwanza lzm apendwe.na baba na mama na wa mwsho huwa co kuwa anapendwa bali anaonewa huruma na wengine pia huwa ni km kumeonea huruma unajua makuzi ya wtt kunawakuwa tu bila kusumbua lkn ukuwaji wa wtt wengine mitihan kila cku hosptal.kwenye mazongo ss hata akikuwa huwa tunawaonea huruma
 
Umeliona hili wew kama mzazi au mtoto?
Habari za jioni wapendwa

Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu...najua humu kuna watu wazima ambao tayari mna familia zenu kwa pande zote baba/mama.

Naomba kufahamishwa kuhusu hili suala la mzazi kumpenda sana mtoto mmoja kuliko watoto wengine..najua humu kuna wazazi mko hivyo..naomba kufahamu hili husababishwa na nini? Maana wakati mwingine utakuta mtoto apendwae ndio mkorofi/asiesikia/kinara wa kumpa mzazi presha kwa matendo yake lakini utakuta mzazi ndio kwanza anaona kama kafanya mazuri.

Naomba kujuzwa kwanini iko hivi!!?.

Nawasilisha
 
Nakataaaa yan wew unasema hvo kwa vile wew sio mtoto wa kwanza
Kwanza lazima ufahamu kuwa mtt wa kwanza lzm apendwe.na baba na mama na wa mwsho huwa co kuwa anapendwa bali anaonewa huruma na wengine pia huwa ni km kumeonea huruma unajua makuzi ya wtt kunawakuwa tu bila kusumbua lkn ukuwaji wa wtt wengine mitihan kila cku hosptal.kwenye mazongo ss hata akikuwa huwa tunawaonea huruma
 
Back
Top Bottom