Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,476
- 215,316
Fedheha anayoipata mtoto wao iliyosababishwa na tuhuma za kuiba jina la mtu kutokana na kufeli masomo yake ya awali ni kubwa sana.
Hata kama anatengeneza hela hata za haramu lakini kwa kweli tuhuma hizi ni aibu kubwa sana kwake na kwa wazazi wake.
Wanyakyusa wa Kyela wana kamsemo kao haka, "Ikuliila Muunto", kwa tafsiri wanamaanisha kwamba pamoja na kwamba mhusika anakula lakini anakula kwa tabu sana.
Labda kama hana wazazi, lakini kama wapo ni vema wakajitokeza hadharani kumuondolea aibu kijana wao.
Halafu kingine ni hiki, mbona hatujawahi kumsikia hata kwenda kwao kuwajulia hali wazazi wake, hawajawahi hata kuumwa?
Hata kama anatengeneza hela hata za haramu lakini kwa kweli tuhuma hizi ni aibu kubwa sana kwake na kwa wazazi wake.
Wanyakyusa wa Kyela wana kamsemo kao haka, "Ikuliila Muunto", kwa tafsiri wanamaanisha kwamba pamoja na kwamba mhusika anakula lakini anakula kwa tabu sana.
Labda kama hana wazazi, lakini kama wapo ni vema wakajitokeza hadharani kumuondolea aibu kijana wao.
Halafu kingine ni hiki, mbona hatujawahi kumsikia hata kwenda kwao kuwajulia hali wazazi wake, hawajawahi hata kuumwa?