Bin Faza
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 502
- 191
Wana Ukumbi,Kila mtanganyika anasikika akisema wazanzibari tunalalamika sana. Sijui ndio tunalalamika kweli au tunasema ukweli tu tu. Tanganyika ni ndugu zetu, tena ndugu wa kidamu, hili halifichiki. Lakini kuna baadhi ya mambo walioifanyia zanzibar yanakera sana na haya ndio yanayosema wao wakahisi tunalalamika.
1. Kusema uwongo kwamba waarabu walikuwa wakiwatesa waafrika, hii ni kampeni chafu zilizotoka tanganyika. Kumbe watanganyika walikuwa wakiheshimiwa na kupewa kazi za serikali kama raia wengine. Mfano ninazo hapa nyaraka za mishahara ya Ali Hassan Mwinyi na Aboud Jumbe walipokuwa wizara ya Elimi ya Dola ya Zanzibar. Hawa ni watanganyika
2. Kuanzisha siasa za machafuko zanzibar kuanzia 1957, na kufanya mauwazi ya wazanzibari wasio na hatia wapatao 17,000 kwa usiku mmoja. Mapinduzi ya zanzibar yalifanywa na watanganyika, tunao ushahidi kamili juu ya hili.
3. Kumuuwa Rais wa zanzibar, ijapokuwa wao ndio waliomweka kwa maslahi yao na kuuufanya muungano ni wa kudumu, kumbe muungano ulikuwa wa miaka 10 tu.
4. Kuzidi kuingilia siasa za zanzibar kwa kutumia kichaka cha CCM
5. Kutupora mali zetu zote, kutupora jina letu na kuifanya nchi yetu ni mkoa tu katika kichaka cha CCM.na mambo tani kwa tani wanayoifanyia znz yanawaudhi sana wazanzibari
1. Kusema uwongo kwamba waarabu walikuwa wakiwatesa waafrika, hii ni kampeni chafu zilizotoka tanganyika. Kumbe watanganyika walikuwa wakiheshimiwa na kupewa kazi za serikali kama raia wengine. Mfano ninazo hapa nyaraka za mishahara ya Ali Hassan Mwinyi na Aboud Jumbe walipokuwa wizara ya Elimi ya Dola ya Zanzibar. Hawa ni watanganyika
2. Kuanzisha siasa za machafuko zanzibar kuanzia 1957, na kufanya mauwazi ya wazanzibari wasio na hatia wapatao 17,000 kwa usiku mmoja. Mapinduzi ya zanzibar yalifanywa na watanganyika, tunao ushahidi kamili juu ya hili.
3. Kumuuwa Rais wa zanzibar, ijapokuwa wao ndio waliomweka kwa maslahi yao na kuuufanya muungano ni wa kudumu, kumbe muungano ulikuwa wa miaka 10 tu.
4. Kuzidi kuingilia siasa za zanzibar kwa kutumia kichaka cha CCM
5. Kutupora mali zetu zote, kutupora jina letu na kuifanya nchi yetu ni mkoa tu katika kichaka cha CCM.na mambo tani kwa tani wanayoifanyia znz yanawaudhi sana wazanzibari