Kwanini wa'Zanzibari tunalalamika kwamba Tanganyika inatudhulumu?

wanzanzibari ni watu wenye rangi zote za binadamu wa kawaida. wapo mpaka wachina
 
Wana Ukumbi,Kila mtanganyika anasikika akisema wazanzibari tunalalamika sana. Sijui ndio tunalalamika kweli au tunasema ukweli tu tu. Tanganyika ni ndugu zetu, tena ndugu wa kidamu, hili halifichiki. Lakini kuna baadhi ya mambo walioifanyia zanzibar yanakera sana na haya ndio yanayosema wao wakahisi tunalalamika.1. Kusema uwongo kwamba waarabu walikuwa wakiwatesa waafrika, hii ni kampeni chafu zilizotoka tanganyika. Kumbe watanganyika walikuwa wakiheshimiwa na kupewa kazi za serikali kama raia wengine. Mfano ninazo hapa nyaraka za mishahara ya Ali Hassan Mwinyi na Aboud Jumbe walipokuwa wizara ya Elimi ya Dola ya Zanzibar. Hawa ni watanganyika2. Kuanzisha siasa za machafuko zanzibar kuanzia 1957, na kufanya mauwazi ya wazanzibari wasio na hatia wapatao 17,000 kwa usiku mmoja. Mapinduzi ya zanzibar yalifanywa na watanganyika, tunao ushahidi kamili juu ya hili.3. Kumuuwa Rais wa zanzibar, ijapokuwa wao ndio waliomweka kwa maslahi yao na kuuufanya muungano ni wa kudumu, kumbe muungano ulikuwa wa miaka 10 tu. 4. Kuzidi kuingilia siasa za zanzibar kwa kutumia kichaka cha CCM5. Kutupora mali zetu zote, kutupora jina letu na kuifanya nchi yetu ni mkoa tu katika kichaka cha CCM.na mambo tani kwa tani wanayoifanyia znz yanawaudhi sana wazanzibari

Mkuu usisahau kuwa utawala wa zanzibar "Zanzibar empire" ulianzia kismayu somali,kufikia kilwa Tanganyika kwa mantiki hiyo basi ujue kuwa mtu wa kilwa,mombasa,baadhi ya wasomali,wagunya walikuwa vile vile mzanzibari,vile vile ukumbuke kuwa kabla ya warabu kuweka makao makuu ya Unguja, makao makuu yalikuwa Kilwa

Sasa tuje kwenye nani hasa wazanzibar,ukitizama historia ya marekani ukajiuliza nani wamarekani utaona kuwa wamerekani ni machanganyiko wa makabila yote ya ulaya,wairish,waingereza,waspanish,wareno nk,wamerekani walifanya mapinduzi kumuondoa mwengereza.

Historia ya zanzibar imejengwa hivyo hivyo,makabila makubwa ambayo wanajiita wazanzibar ni makabila ya pwani yaani wazaramo,wazingua,wasegeju,wabondei nk na utakuta makabila kama Wanyamwezi na Wamanyema wao walikuja wakati wautmwa.

Mkabila haya baada ya miaka mingi na kuchanganyika na watu mbali mbali kama vile wahindi,wapashia,wareno ndio ukapatikana utamaduni na mila za zanzibar au uzanzibari,hawa waswahili wa zanzibar wana tamaduni zao,vyakula vyao,musiki wao,mila zao,lugha yao nk

kabila kama wamanyema wao hasa ndio waliokuwa wamechanganya na koo za kisultani wa zanzibar na ndio hata kama utangalia picha za masultani wa Zanzibar walikuwa sio warabu kamili walikuwa ni mashombe ya kiarabu

Huo ndio ukweli,sasa utakuta kuwa kuna baadhi ya watu walihamia zanzibar au waliwenda zanzibar kwa sababu zao wenyewe hao ndio wanaitwa wageni,kama vile Ali hassan Mwinyi,inasemekana hata Karume sr hakuzaliwa Zanzibar,

wazanzibar walikuwa sio wabaguzi na ndio maana utakuta watu kama kina Karume,Ali hassan Mwinyi,aboud Jumbe mwinyi walifika kuchukua madaraka makubwa tu wakati wazanzibari wakijua fika kuwa hawa watu walikuwa walikuwa wageni ;)

Usisahau kuwa warabu waliitwa na wazanzibari ili waje kuwasaidia kuwaondoa wareno Zanzibar,Cha kujiuliza kabla ya hawa warabu kuitwa kuja kuroa msaada zanzibar,wazanibari walikuwa watu wa aina gani?au nani kawaita warabu waje kusaidia zanzibar....

Hii nikusema kuwa uzanzibari na zanzibar ilikuwepo kabla ya warabu ;)
 
Deomy

kama Huo ndio upeo wako wa kufikiri Mashaka mapevu haya.

Haya kiongozi wangu lakini usidhani ninakulaumu, for i know that God have created different people with different capacity of thinking and analyzing different things and derive different meanings from them .....God bless u
 
Kwanza kabisa Bwana Mohammed Bin Amhed Murjib umaarufu wake Tiputipu alipekwa kuwa gavana wa zaniabr kule kasongo Congo. Hapa ikiwa unajuwa history tu.

Ukitaka picha za wajeruani kama hivo nitakutumia, picha ambazo zinaonesha watanganyika wakifanya watumwa
 
The Bold

Tatizo, kwa maoni yangu ni chaguo la mtu juu ya lipi ni tusi na lipi si tusi

ahsante
 
Haliha shaka hilo, historia ya zanzibar inapatika hata kuanzia maika ya 600s AD na something
 
Hilo neno mwarabu koko ni kejeli na halifai kutumia. Mbona wahindi waliohamia zanzibar zaidi ya miaka 150 sasa huwaiti wahindi koko...inaonekana kuna chuki fulani moyoni mwako dhidi ya hawa waarabu.

Wazanzibari wenyewe wanasema mshirazi ndie mzanzibari halisi. Na miaka ile wakaunda chama chao cha siasa kikaitwa Shirazi association.

In that case, shirazi people are from Iran, the area is called shiraz, Hassan Bin Ali alikuja kuzitawala coast za east africa akiwa na watoto wake 7. Wakaanzisha the first zenj empire. Hilo neno Zenj ni la kiirani.

ukitaka zaidi sema
 
Bin Faza Tippu Tip alikuwa akifanya baishara gani..? hao watumwa walikuwa na rangi gani , wale watumwa alikuwa akiwaeka hoteli kula vizuri na kulala vizuri bila kuwafunga cheni shingoni..? hebu acha maneno yako hayo... wafrica waliteswa sana katika biashara za utumwa hapo znz mpaka leo makumbusho yapo



_DSC0058.JPG

Ebu tusaidie hapo Tipu Tipu ni yupi!!!!?
 
Mkuu usisahau kuwa utawala wa zanzibar "Zanzibar empire" ulianzia kismayu somali,kufikia kilwa Tanganyika kwa mantiki hiyo basi ujue kuwa mtu wa kilwa,mombasa,baadhi ya wasomali,wagunya walikuwa vile vile mzanzibari,vile vile ukumbuke kuwa kabla ya warabu kuweka makao makuu ya Unguja, makao makuu yalikuwa Kilwa

Sasa tuje kwenye nani hasa wazanzibar,ukitizama historia ya marekani ukajiuliza nani wamarekani utaona kuwa wamerekani ni machanganyiko wa makabila yote ya ulaya,wairish,waingereza,waspanish,wareno nk,wamerekani walifanya mapinduzi kumuondoa mwengereza.

Historia ya zanzibar imejengwa hivyo hivyo,makabila makubwa ambayo wanajiita wazanzibar ni makabila ya pwani yaani wazaramo,wazingua,wasegeju,wabondei nk na utakuta makabila kama Wanyamwezi na Wamanyema wao walikuja wakati wautmwa.

Mkabila haya baada ya miaka mingi na kuchanganyika na watu mbali mbali kama vile wahindi,wapashia,wareno ndio ukapatikana utamaduni na mila za zanzibar au uzanzibari,hawa waswahili wa zanzibar wana tamaduni zao,vyakula vyao,musiki wao,mila zao,lugha yao nk

kabila kama wamanyema wao hasa ndio waliokuwa wamechanganya na koo za kisultani wa zanzibar na ndio hata kama utangalia picha za masultani wa Zanzibar walikuwa sio warabu kamili walikuwa ni mashombe ya kiarabu

Huo ndio ukweli,sasa utakuta kuwa kuna baadhi ya watu walihamia zanzibar au waliwenda zanzibar kwa sababu zao wenyewe hao ndio wanaitwa wageni,kama vile Ali hassan Mwinyi,inasemekana hata Karume sr hakuzaliwa Zanzibar,

wazanzibar walikuwa sio wabaguzi na ndio maana utakuta watu kama kina Karume,Ali hassan Mwinyi,aboud Jumbe mwinyi walifika kuchukua madaraka makubwa tu wakati wazanzibari wakijua fika kuwa hawa watu walikuwa walikuwa wageni ;)

Usisahau kuwa warabu waliitwa na wazanzibari ili waje kuwasaidia kuwaondoa wareno Zanzibar,Cha kujiuliza kabla ya hawa warabu kuitwa kuja kuroa msaada zanzibar,wazanibari walikuwa watu wa aina gani?au nani kawaita warabu waje kusaidia zanzibar....

Hii nikusema kuwa uzanzibari na zanzibar ilikuwepo kabla ya warabu ;)

Umesomeka Mkuu!
Ss tuwasubiri wajukuu wa Nyerere walete propaganda!!
Utaskia wanakwambia Mapinduzi ya Zanzibar uliondoshwa utawala wa kiarabu!!!
 
Wana Ukumbi,Kila mtanganyika anasikika akisema wazanzibari tunalalamika sana. Sijui ndio tunalalamika kweli au tunasema ukweli tu tu. Tanganyika ni ndugu zetu, tena ndugu wa kidamu, hili halifichiki. Lakini kuna baadhi ya mambo walioifanyia zanzibar yanakera sana na haya ndio yanayosema wao wakahisi tunalalamika.1. Kusema uwongo kwamba waarabu walikuwa wakiwatesa waafrika, hii ni kampeni chafu zilizotoka tanganyika. Kumbe watanganyika walikuwa wakiheshimiwa na kupewa kazi za serikali kama raia wengine. Mfano ninazo hapa nyaraka za mishahara ya Ali Hassan Mwinyi na Aboud Jumbe walipokuwa wizara ya Elimi ya Dola ya Zanzibar. Hawa ni watanganyika2. Kuanzisha siasa za machafuko zanzibar kuanzia 1957, na kufanya mauwazi ya wazanzibari wasio na hatia wapatao 17,000 kwa usiku mmoja. Mapinduzi ya zanzibar yalifanywa na watanganyika, tunao ushahidi kamili juu ya hili.3. Kumuuwa Rais wa zanzibar, ijapokuwa wao ndio waliomweka kwa maslahi yao na kuuufanya muungano ni wa kudumu, kumbe muungano ulikuwa wa miaka 10 tu. 4. Kuzidi kuingilia siasa za zanzibar kwa kutumia kichaka cha CCM5. Kutupora mali zetu zote, kutupora jina letu na kuifanya nchi yetu ni mkoa tu katika kichaka cha CCM.na mambo tani kwa tani wanayoifanyia znz yanawaudhi sana wazanzibari

Mwalimu Julius Kambarage Nyerere and Sheikh Abeid Amani Karume exchanging theArticles of the Union in 1964.​
The Articles of the Union was ratified by Tanganyika's Parliament and the ZanzibarRevolutionary Council on 26 April, 1964. On 27 April, 1964, the leaders of the twocountries exchanged legal documents of the Union at the Karimjee Hall in Dar esSalaam. The Articles of the Union declared the formation of the United Republic inSection 4 as follows:“​
The Republic of Tanganyika and the Peoples' Republic of Zanzibar shall be united inone Sovereign Republic to form the Republic of Tanganyika and Zanzibar”
On 28 October, 1964, the Republic of Tanganyika and Zanzibar was renamed asUnited Republic of Tanzania through the United Republic (Declaration of Name) Actnumber 61 of 1964.This is a Union of a two tire system of Governments; the Government of the UnitedRepublic of Tanzania, which is Sovereignty to deal with all Union matters and non-Union matters in Mainland Tanzania as stipulated in the Constitution of the UnitedRepublic of Tanzania of 1977 (As Amended) and the Revolutionary GovernmentZanzibar, which deals with non-Union matters in Tanzania Zanzibar.Reasons for the union of Tanganyika and Zanzibar were the following:1. The people of Tanganyika and Zanzibar have historically enjoyed very closerelations in various areas, including family ties, trade, culture, language andpolitical interactions.2. A strong spirit of African unity has prevailed, especially with the formation of theEast African Community as a building block for the establishment of theproposed United States of Africa. Even before Tanganyika achieved itsindependence, Mwalimu Nyerere and other leaders in East Africa who werefighting for the liberation of the continent from colonialists were determined to​
achieve African unity.
 
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere and Sheikh Abeid Amani Karume exchanging theArticles of the Union in 1964.​
The Articles of the Union was ratified by Tanganyika's Parliament and the ZanzibarRevolutionary Council on 26 April, 1964. On 27 April, 1964, the leaders of the twocountries exchanged legal documents of the Union at the Karimjee Hall in Dar esSalaam. The Articles of the Union declared the formation of the United Republic inSection 4 as follows:"​
The Republic of Tanganyika and the Peoples' Republic of Zanzibar shall be united inone Sovereign Republic to form the Republic of Tanganyika and Zanzibar"
On 28 October, 1964, the Republic of Tanganyika and Zanzibar was renamed asUnited Republic of Tanzania through the United Republic (Declaration of Name) Actnumber 61 of 1964.This is a Union of a two tire system of Governments; the Government of the UnitedRepublic of Tanzania, which is Sovereignty to deal with all Union matters and non-Union matters in Mainland Tanzania as stipulated in the Constitution of the UnitedRepublic of Tanzania of 1977 (As Amended) and the Revolutionary GovernmentZanzibar, which deals with non-Union matters in Tanzania Zanzibar.Reasons for the union of Tanganyika and Zanzibar were the following:1. The people of Tanganyika and Zanzibar have historically enjoyed very closerelations in various areas, including family ties, trade, culture, language andpolitical interactions.2. A strong spirit of African unity has prevailed, especially with the formation of theEast African Community as a building block for the establishment of theproposed United States of Africa. Even before Tanganyika achieved itsindependence, Mwalimu Nyerere and other leaders in East Africa who werefighting for the liberation of the continent from colonialists were determined to​
achieve African unity.

This is not more thn a high speed non sense propaganda. No one in zanzibar was asked about the idea of unification, it was a mere surprise by the way Nyerere didn't write a single word of Memorandum of Union, all was done Englishmen. tunao ushidi wa kutosha kwa watu waliokuwa viongozi ziku hizo hapo znz
 
kwa mujibu wa katika ya zamani ya zanzibar mgeni anaeweza kupata uraia wa zanzibar ni mjukuu wa mgeni alofika na kuishi zanizbar. yaani kama wewe umehamia zanizbr basi uowe hapo na uzae na mtoto wako aowe hapo na azae huyo mjukuu wako ndie anayepata uraia wa moja kwa moja.

Mzee karume hakuzaliwa zanzibar, wengine wanasema ametokea Malawi. Allahuyalaam

Lakini kwa mujibu wa katika ya znz yeye hakustahiki urai wala watoto wake.
Kweli nyama ya mtu mbaya...umeanza kuwakana Hadi Marais wenu?
 
Mkuu usisahau kuwa utawala wa zanzibar "Zanzibar empire" ulianzia kismayu somali,kufikia kilwa Tanganyika kwa mantiki hiyo basi ujue kuwa mtu wa kilwa,mombasa,baadhi ya wasomali,wagunya walikuwa vile vile mzanzibari,vile vile ukumbuke kuwa kabla ya warabu kuweka makao makuu ya Unguja, makao makuu yalikuwa Kilwa

Sasa tuje kwenye nani hasa wazanzibar,ukitizama historia ya marekani ukajiuliza nani wamarekani utaona kuwa wamerekani ni machanganyiko wa makabila yote ya ulaya,wairish,waingereza,waspanish,wareno nk,wamerekani walifanya mapinduzi kumuondoa mwengereza.

Historia ya zanzibar imejengwa hivyo hivyo,makabila makubwa ambayo wanajiita wazanzibar ni makabila ya pwani yaani wazaramo,wazingua,wasegeju,wabondei nk na utakuta makabila kama Wanyamwezi na Wamanyema wao walikuja wakati wautmwa.

Mkabila haya baada ya miaka mingi na kuchanganyika na watu mbali mbali kama vile wahindi,wapashia,wareno ndio ukapatikana utamaduni na mila za zanzibar au uzanzibari,hawa waswahili wa zanzibar wana tamaduni zao,vyakula vyao,musiki wao,mila zao,lugha yao nk

kabila kama wamanyema wao hasa ndio waliokuwa wamechanganya na koo za kisultani wa zanzibar na ndio hata kama utangalia picha za masultani wa Zanzibar walikuwa sio warabu kamili walikuwa ni mashombe ya kiarabu

Huo ndio ukweli,sasa utakuta kuwa kuna baadhi ya watu walihamia zanzibar au waliwenda zanzibar kwa sababu zao wenyewe hao ndio wanaitwa wageni,kama vile Ali hassan Mwinyi,inasemekana hata Karume sr hakuzaliwa Zanzibar,

wazanzibar walikuwa sio wabaguzi na ndio maana utakuta watu kama kina Karume,Ali hassan Mwinyi,aboud Jumbe mwinyi walifika kuchukua madaraka makubwa tu wakati wazanzibari wakijua fika kuwa hawa watu walikuwa walikuwa wageni ;)

Usisahau kuwa warabu waliitwa na wazanzibari ili waje kuwasaidia kuwaondoa wareno Zanzibar,Cha kujiuliza kabla ya hawa warabu kuitwa kuja kuroa msaada zanzibar,wazanibari walikuwa watu wa aina gani?au nani kawaita warabu waje kusaidia zanzibar....

Hii nikusema kuwa uzanzibari na zanzibar ilikuwepo kabla ya warabu ;)
Hakuna binadamu mwenye ardhi,ardhi yote ni mali ya muumbaji mumngu,na hao binadamu kawaumba yeye,kubaguana hakutakwisha,ukijita Mzanzibari,Ukijiita Mtanzania,vyovyote utakavyojiita utabaki,ni binadamu,una miguu miwili,mikono miwili,macho mawili,maskio mawili nk,acheni kubaguawana,mwisho wote wa binadabu,ni kifo,na kuzikwa,hata uwe ni mzanzibari,mtanganyika,mtanzania nk.
 
Nakuunga mkono bin faza kwa asilimia zote. Ila jiandae kupokea matus kwa watanganyika maana mara zote wanapoambiwa ukweli huwa unawachoma. Na bila ndo maana mpaka dakika hi wanangangania muungano kwa kujua bila muungano wanarudi tena kuwa primitive.
 
Cha ajabu wanasema bila tanganyika zanzibar haiendi lakin cha ajabu na cha kujiuliza bdo wamewangangania hao hao. Pana siri gani hapa. 2achiwe 2pumuwe koti lishatubana.
 
Bobwe

Nakubali maneno yako

hawa watanganyika ni maprofesa tai tu, kwengine kweupe.

Hakuna sababu ya malumbano na matusi yasiyo na faida cha msingi ni kupanga mikakati ya kuendesha mataifa yetu mawili kwa ufanisi baada ya kutengana. Kuaminiana kwa pande zote mbili kumekwama hata kama jambo linalofanywa ni zuri. Malalamiko hayaishi haswa kwa Zenji wanaoamini wamenyimwa punzi na mdudu aitwae Tanganyika.
 
Hakuna binadamu mwenye ardhi,ardhi yote ni mali ya muumbaji mumngu,na hao binadamu kawaumba yeye,kubaguana hakutakwisha,ukijita Mzanzibari,Ukijiita Mtanzania,vyovyote utakavyojiita utabaki,ni binadamu,una miguu miwili,mikono miwili,macho mawili,maskio mawili nk,acheni kubaguawana,mwisho wote wa binadabu,ni kifo,na kuzikwa,hata uwe ni mzanzibari,mtanganyika,mtanzania nk.

Binaadamu wameanza kugombania ardhi tangu dunia inaanza,vita vyote vilivyotokea duniani ni kwa kugombania ardhi,Ardhi ndio nchi,ndio kabila,ndio,utamaduni,Ardhi ndio "Brand" ya nchi,Ardhi ndio kila kitu,hayo unayozungumza nia porojo za maskani
 
wazanzb ni walalamishi, wauwaji, wenye hisia kal za kidini na wavivv! hata tukiwaliberal hamtaridhika... we bin faza na vihistoria vyako vya kichokonoziii sasa unataka nini....? muda c mref mtaanza kulipia umeme na kununua mchele arabuni...na mjitangaze rasmi kuwa nchi ya kidini... af mumkaribishe mwarabu awasaidie... in short we ar tired of u guys!!!! hata vitabu vitakatif vinasema Aheri kuish katika kona ya dari kuliko kwenye nyumba pana na mwanamke mgomvi.... ZANZBAR NI MWANAMKE MGOMVI.
 
Back
Top Bottom