Hivi ni kwanini Wazanzibari walio wengi hawana vichogo kama sisi wa Bara? Yaani vichwa vyao kwa nyuma vimepigwa pasi na havijachongoka kama vya kwetu Wabara!
"jamanieee, JF vipi " mungu Muumba wetu huumba atakavyo sasa tusimkoseee !! Kwani siye wanaAdamu tunaoowezo ??Hivi ni kwanini Wazanzibari walio wengi hawana vichogo kama sisi wa Bara? Yaani vichwa vyao kwa nyuma vimepigwa pasi na havijachongoka kama vya kwetu Wabara!
mtoto anapozaliwa masaa machache ya mwanzo mifupa huwa teketeke, mtoto hulazwa chali kisogo huwekwa kwenye kibao bapa, mda unavyopita mifupa huanza kuwa migumu na tayari umepata upata kisogoni ili kuvaa vizuri baraghashia, upo?
Hivi ni kwanini Wazanzibari walio wengi hawana vichogo kama sisi wa Bara? Yaani vichwa vyao kwa nyuma vimepigwa pasi na havijachongoka kama vya kwetu Wabara!