Tanzania bara ikiitoa zanzibar, kwa wazanzibari hawata ikubali zanzibar pekee yake, hawatakaa waridhike na visiwa viwili tu, watataka na visiwa vya mafia, na jiji la Dar es salaam, mpaka mtwara, mwisho kibaigwa dodoma.
Kumbe unajuwa kuwa kote huko ni kwetu ? sasa wewe endelea kugoma mpaka utakapolipishwa fidia ya kuikalia nchi ya watu kwa miaka zaidi ya 50Tanzania bara ikiitoa zanzibar, kwa wazanzibari hawata ikubali zanzibar pekee yake, hawatakaa waridhike na visiwa viwili tu, watataka na visiwa vya mafia, na jiji la Dar es salaam, mpaka mtwara, mwisho kibaigwa dodoma.
Mbona unajichanganya?Ile zanzibar siyo yao, ni mali ya bara ila wao wanataka kutunyanganya, na eneo la km 25 pwani ya tanzania bara wataridai pindi akitokea mjinga mmoja akilitoa hiyo zanzibar
Tanzania bara ikiitoa zanzibar, kwa wazanzibari hawata ikubali zanzibar pekee yake, hawatakaa waridhike na visiwa viwili tu, watataka na visiwa vya mafia, na jiji la Dar es salaam, mpaka mtwara, mwisho kibaigwa dodoma.
Wanataka kujikomba na utawala wa mkoloni mweusi.
Inawezekanaje mtu wa Chatto au Kolomije awe na sauti juu ya nani agombee urais Zanzibar?
Ile zanzibar siyo yao, ni mali ya bara ila wao wanataka kutunyanganya, na eneo la km 25 pwani ya tanzania bara wataridai pindi akitokea mjinga mmoja akilitoa hiyo zanzibar
Nenda kaolewe kwnza ,hujuwi kituTanzania bara ikiitoa zanzibar, kwa wazanzibari hawata ikubali zanzibar pekee yake, hawatakaa waridhike na visiwa viwili tu, watataka na visiwa vya mafia, na jiji la Dar es salaam, mpaka mtwara, mwisho kibaigwa dodoma.