Hili ni swali huwa najiuliza sana. Ina fikia hatua mkristo alimuona myahudi anamwita ni mteule wa Mungu "taifa teule". Inawezekanaje watu walioua mitume na manabii, wakamuua hadi Mungu wa wakristo (YESU) still wakabaki kuwa ni wateule?. Ningependa nipate majibu kistaarabu