Kwanini watz tusichange kuendesha mchakato wakatiba mpya?

Mkohi Jr

Member
Oct 16, 2018
5
4
Magufuli anasema hatatoa fedha kwaajili ya kwendesha mchakato wa katiba mpya, watz tuchangie maana kama kwenye maafa tunachanga mpaka zingine zinaenda kujenga mjengo ya serikali tunashindwa vipi hapa, kama shida ni pesa?
 
Magufuli anasema hatatoa fedha kwaajili ya kwendesha mchakato wa katiba mpya, watz tuchangie maana kama kwenye maafa tunachanga mpaka zingine zinaenda kujenga mjengo ya serikali tunashindwa vipi hapa, kama shida ni pesa?
Nani atazikusanya... watu tunaowaamini hawaitaki, wale wa upande wa pili ruzuku tu n shida kila siku watu wanalalamika kua haitumiwi ipaswavyo... wajanja wachache wanazpga, sasa hizi za katiba s ndo yatakua yale yale alyoyakataa mheshimiwa ya watu kupga posho
 
HECHE ALISEMA KM RAIS KAAMUA KUTOTOA PESA WATAINGIA MCHaKATONI BURE
.
.
.ILA SWALI LANGU MOJA INA MAANA RAIS ANATOA PESA AKIAMUA NA HATOI AKIMUA INA MAAANA RAIS NDO KASHIKILIA PESA BILA YEYE HAZITOKI KISHERIA LIKOJe HILI INA MAANA RAISI NDO KILA KITU KWENYE KUTOA PESA INA MAANA BUNGE HALINA KAZI TENA?..
 
Magufuli anasema hatatoa fedha kwaajili ya kwendesha mchakato wa katiba mpya, watz tuchangie maana kama kwenye maafa tunachanga mpaka zingine zinaenda kujenga mjengo ya serikali tunashindwa vipi hapa, kama shida ni pesa?
Tukichanga zitaelekezwa kwenye SGR na nyingine kufanyia matengenezo viwanja vya michezo vya CCM.
 
Naombeni niwe muweka hazina wenu, sina tamaa na hela hata kidogo na huwa sizishobokei labda iwe dola au pound. Tsh hazinisumbui hata kidogo.
 
Magufuli anasema hatatoa fedha kwaajili ya kwendesha mchakato wa katiba mpya, watz tuchangie maana kama kwenye maafa tunachanga mpaka zingine zinaenda kujenga mjengo ya serikali tunashindwa vipi hapa, kama shida ni pesa?
Changia kwenye mambo km ya kujenga madarasa, zahanati,mashule, vituo vya wazee,vituo vya watoto wa mtaani, vituo vya kusaidia walemavu wa wa ngozi, wagonjwa n.k km ni katiba tayari tunayo tangu uhuru.
 
Naombeni niwe muweka hazina wenu, sina tamaa na hela hata kidogo na huwa sizishobokei labda iwe dola au pound. Tsh hazinisumbui hata kidogo.
Mimi ntamuwa msaidizi wako pia kama. Wewe sina shobo. Na. Kitu kinachontwa hera za tz.
 
HECHE ALISEMA KM RAIS KAAMUA KUTOTOA PESA WATAINGIA MCHSKATONI BURE
.
.
.ILA SWALI LANGU MOJA INA MAANA RAIS ANATOA PESA AKIAMUA NA HATOI AKIMUA INA MAAANA RAIS NDO KASHIKILIA PESA BILA YEYE HAZITOKI KISHERIA LIKO HILI INA MAANA RAISI NDO KILA KITU KWENYE KUTOA PESA INA MAANA BUNGE HALINA KAZI TENA?..

Hivi kuna kitu kinaitwa bunge?
Au Je,ni jengo la bunge linalotumika kwa shughuli za kiserikali?
 
KWA SASA SIDHANI KAMA BUNGE LINA FURUKUTA.
HECHE ALISEMA KM RAIS KAAMUA KUTOTOA PESA WATAINGIA MCHaKATONI BURE
.
.
.ILA SWALI LANGU MOJA INA MAANA RAIS ANATOA PESA AKIAMUA NA HATOI AKIMUA INA MAAANA RAIS NDO KASHIKILIA PESA BILA YEYE HAZITOKI KISHERIA LIKOJe HILI INA MAANA RAISI NDO KILA KITU KWENYE KUTOA PESA INA MAANA BUNGE HALINA KAZI TENA?..
 
Magufuli anasema hatatoa fedha kwaajili ya kwendesha mchakato wa katiba mpya, watz tuchangie maana kama kwenye maafa tunachanga mpaka zingine zinaenda kujenga mjengo ya serikali tunashindwa vipi hapa, kama shida ni pesa?
Utashangaa pesa zinaenda kujenga makaburi.
 
Magufuli anasema hatatoa fedha kwaajili ya kwendesha mchakato wa katiba mpya, watz tuchangie maana kama kwenye maafa tunachanga mpaka zingine zinaenda kujenga mjengo ya serikali tunashindwa vipi hapa, kama shida ni pesa?
tatizo si kuchanga,ni nani atasimamia na kupokea hiyo michango na uhakika wa matumizi yaliyokusudiwa? kumbu kumbu za tetemeko/lucky vicent hazijafutika.
 
Magufuli anasema hatatoa fedha kwaajili ya kwendesha mchakato wa katiba mpya, watz tuchangie maana kama kwenye maafa tunachanga mpaka zingine zinaenda kujenga mjengo ya serikali tunashindwa vipi hapa, kama shida ni pesa?

Kumbuka maneno yake vizuri:

1. Hatoi pesa kwa ajili ya katiba mpya.
2. Hata kama mtu au watu wataleta pesa kwa ajili ya katiba mpya atazipeleka kwenye SGR.

Hizo mbili hapo juu ni kuwa haitaki katiba mpya full stop. Kwa tafsiri hiyo hata pesa zikichangwa itakuwa imeangukia hapo kwenye #2.

Suala la katiba ni suala la maslahi makubwa kwa taifa. Si sahihi mtu mmoja kulihodhi kiasi hicho. Katiba kama ilivyokuwa kwa Kenya hudaiwa si ya kusubiria kama hisani tokea kwa baba mwenyezi.
 
Tukumbushane yaliyotokea Dodoma baada ya Warioba kuwasilisha rasimu yake ktk BMK!
Hiyo msemayo nayo hitafika mbali, itakutana na kikundi cha RC wa DSM.
 
Pumbavu zenu kabisa, hiyo katiba bajeti yake ikoje?


Kwani kijadili katiba mpaka muingie bungeni kula posho?


Mmezoea posho posho ,
 
Back
Top Bottom