Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 247
Watanzania wanawaogopa sana watumishi wa ldara ya usalama wa taifa.
mkikaa kwenye vikao vya pombe, mtu akinyoosha kidole kuwa yule fulani ni afisa usalama, amani inatoweka, mazungumzo yanabadilika na hofu inatanda.
nasikia hapa Jamii Forums watu wanaogopa kutumia majina na wasifu wao kamili kwa kuwahofia wana Usalama wa taifa.
Je kwanini usalama wataifa waogopwe kiasi hiki?
mkikaa kwenye vikao vya pombe, mtu akinyoosha kidole kuwa yule fulani ni afisa usalama, amani inatoweka, mazungumzo yanabadilika na hofu inatanda.
nasikia hapa Jamii Forums watu wanaogopa kutumia majina na wasifu wao kamili kwa kuwahofia wana Usalama wa taifa.
Je kwanini usalama wataifa waogopwe kiasi hiki?