Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,886
Katika race zote duniani nafikiri watu weusi ndiyo wanaongoza kuvaa kwa fasheni na kujipamba. Mambo ya mikufu mikubwa na ghali, pete nyingi, bangili na hereni ni kawaida kwao, hiki si kwa manaume au kwa mwanamke.
Mtu mweusi popote duniani anahusudu sana mavazi na anatumia gharama kubwa sana. Atakuwa na raba kali, jinsi kali zenye fasheni, cheni, kofia na mambo mengine ya kujipamba. Ukiangalia watu wengine kama Wazungu, Wahindi, Waarabu na orientals hukuti mambo hayo, hawa huvaa kawaida sana. Ndiyo maana utasikia "wazungu wako simple sana"
Hili suala la kujipamba sana na kutumia asikimia kubwa ya pesa kwa nguo na mapambo kwanini ipo sana kwa watu weusi?
Mtu mweusi popote duniani anahusudu sana mavazi na anatumia gharama kubwa sana. Atakuwa na raba kali, jinsi kali zenye fasheni, cheni, kofia na mambo mengine ya kujipamba. Ukiangalia watu wengine kama Wazungu, Wahindi, Waarabu na orientals hukuti mambo hayo, hawa huvaa kawaida sana. Ndiyo maana utasikia "wazungu wako simple sana"
Hili suala la kujipamba sana na kutumia asikimia kubwa ya pesa kwa nguo na mapambo kwanini ipo sana kwa watu weusi?